Kakobe aunga mkono UKAWA

Kakobe aunga mkono UKAWA

Ingekuwa vizuri sana Mchungaji Kakobe angeweka mkazo kwenye dini. Siasa angewaachia wanasiasa. Uchungaji wake unaleta viulizo pale anapoanza kujiingiza kwenye siasa. Aamue moja awe kama Dk Slaa.

Katiba ya nchi haina cha siasa ndo maana kikwete kawateua wachungaji kwenye BMT kwa mantic hiyo Kakobe hawezi kukaa kimya amegusa maoni ya wananchi nampongeza sana
 
Ingekuwa vizuri sana Mchungaji Kakobe angeweka mkazo kwenye dini. Siasa angewaachia wanasiasa. Uchungaji wake unaleta viulizo pale anapoanza kujiingiza kwenye siasa. Aamue moja awe kama Dk Slaa.

hivi katiba ni ya chama gani...?
 
hivi kakobe alishapona fungus za mdomoni?.

Kakobe kakuvuruga kabisa ndugu yangu huo ndo ukweli. Magonjwa kila mtu anayake na hapa si sehemu ya kutaja magonjwa ya watu, hapa ni hoja za katiba mpya.

Nakusikitikia sana na kukupa pole hujakomaa bado unahitaji malezi. Jumapili njema
 
Kakobe kakuvuruga kabisa ndugu yangu huo ndo ukweli. Magonjwa kila mtu anayake na hapa si sehemu ya kutaja magonjwa ya watu, hapa ni hoja za katiba mpya.

Nakusikitikia sana na kukupa pole hujakomaa bado unahitaji malezi. Jumapili njema

asante kwa kunitakia siku njema.
Ila ujue magonjwa mengine ya kujitakia.kila kiungo na matumizi yake bana.
 
Ni kweli Mkuu. Nimemshangaa sana mleta uzi kwa kujitoa ufahamu. Ni huyu huyu Kakobe aliyewahubiria waumini wake kanisani juu ya umuhimu wa serikali tatu na kawadanganya eti ni chaguo la Mungu

Ebu jamani achebu kujitoa fahamu, ccm wakitumia ubabe bila ukawa mjue katiba yao haiwezi kupita kwa wananchi yaliwakuta Kenya. Mtafuja pesa za walipa kodi bure!
 
Mch.Zakaria Kakobe ameunga mkono kundi imara la UKAWA kusimamia msimamo wao wa kutorudi bungeni kama maoni ya wananchi hayatazingatiwa.Pia amewashangaa viongozi wa wengine dini kuwataka UKAWA kurudi bungeni bila kushauri namna ya kutatua mgogoro."Mbona hamuishauri CCM ijadili rasmi ya wananchi,mnawataka tu UKAWA kurudi bungeni" alisisitiza Mch.Kakobe.Source:Nipashe!
Kakobe mzuia nguzo za umeme zisipite mbele ya kanisa lake. Mbona ulipita. Mpinga maendeleo huyo.
 
Umesahau kipindi kile amesema kikwete ni chaguo la mungu??.. au kikwete alikua mpinzani pia
 
Kakobe ni mchungaji mwenye heshima kubwa nchini
na MUNGU kamtumia,maana saut yake inabeba maono.
Ukawa lzm wafkie kile wanachokiamini maana ndio msingi wa katiba bora
 
kakobe alishapoteza mvuto aunge mkono asiunge impact yake ni ndogo sana
Nakukuba hata Gaddafi alikuwa anasema hao vijana wa Benghaz ni wahuni ni kikundi kidogo tu,

Matokeo ya dharau tuliyaona...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom