Kakobe aunga mkono UKAWA

Kakobe aunga mkono UKAWA

Move s3 ni ya majority. Inaweza kuzimwa tu na wachache kwa kutumia jeshi. Kwa mazingira ya kisiasa ya Tanzania jeshi halina mpango huo. Si muda mlefu mwafaka utapatikana.
Kwani kati ya UKAWA na CCM, nani majority?
 
Kwa vile kawapa za uso ndo mnamuona mpiga debe? Huyo Lumumba ndo Prof wa UKWELI na si hiyu Lipumba kama jina lake lilivyo

unazunguziaje kauli ya Lumumba kwamba hakuna popote duniani bunge hufanya tofauti na kujadili maoni ya wananchi.
 
Jamani kwanini mnapoteza mda wenu kujibishana na wafu?

Kwa kufanya hivyo mna derail mjadala, na lengo la wafu linakuwa limetimia. Please don't be caught in that cheap trap
 
Mch.Zakaria Kakobe ameunga mkono kundi imara la UKAWA kusimamia msimamo wao wa kutorudi bungeni kama maoni ya wananchi hayatazingatiwa.Pia amewashangaa viongozi wa wengine dini kuwataka UKAWA kurudi bungeni bila kushauri namna ya kutatua mgogoro."Mbona hamuishauri CCM ijadili rasmi ya wananchi,mnawataka tu UKAWA kurudi bungeni" alisisitiza Mch.Kakobe.Source:Nipashe!

Ingekuwa vizuri sana Mchungaji Kakobe angeweka mkazo kwenye dini. Siasa angewaachia wanasiasa. Uchungaji wake unaleta viulizo pale anapoanza kujiingiza kwenye siasa. Aamue moja awe kama Dk Slaa.
 
Ingekuwa vizuri sana Mchungaji Kakobe angeweka mkazo kwenye dini. Siasa angewaachia wanasiasa. Uchungaji wake unaleta viulizo pale anapoanza kujiingiza kwenye siasa. Aamue moja awe kama Dk Slaa.

angekuwa anaongelea uchanguzi pengine,lakini kuhusu katiba,wewe unaonekana liCCM.Tena kwa taarifa yako tunatakiwa tuwape wao nafasi kubwa sio wanasiasa
 
angekuwa anaongelea uchanguzi pengine,lakini kuhusu katiba,wewe unaonekana liCCM.Tena kwa taarifa yako tunatakiwa tuwape wao nafasi kubwa sio wanasiasa

Mkuu viongozi wa dini wanatakiwa kuwa na maoni yao kuhusu katiba na sauti yao inatakiwa kusikika. Lakini kuanza kwa mtu wa dini kuanza kuingiza siasa, na sio kueleta maoni kwa njia sahihi, tatizo.

Mkuu kwani kuwa mwanaCCM ni tatizo? kuna ubaya gani kuwa liCCM?
 
Halafu mwaka 2010 aliwadanganya kondoo wake kuwa Mzee Slaa ni chaguo la Mungu hivyo wampe kura!

Mwaka 2010 idadi ya kura za ccm ilikuwa hoi bin taaban,mpeni sifa zake za kipekee pro lipumba

Mda mwingine muwe mnarudisha fadhira hata kwa mgongo wa chupa,dharau zenu ni pamoja na kulewa madaraka
 
Pamoja na Unafik wake mwingi hapa amesema ukweli ...
Mch.Zakaria Kakobe ameunga mkono kundi imara la UKAWA kusimamia msimamo wao wa kutorudi bungeni kama maoni ya wananchi hayatazingatiwa.Pia amewashangaa viongozi wa wengine dini kuwataka UKAWA kurudi bungeni bila kushauri namna ya kutatua mgogoro."Mbona hamuishauri CCM ijadili rasmi ya wananchi,mnawataka tu UKAWA kurudi bungeni" alisisitiza Mch.Kakobe.Source:Nipashe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom