MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Mbona Kilain alisema Kikwete nichaguo la mungu akifaham fika anafanya dhambi kwa kudanganya umm
Lakini hakukuchaguliwa bunge la katiba je ummemsikia akisema chochote? bado unaendelea kupotosha
Unamaana ukiipendelea nakusema uwongo kuisifia ccm unapewa takrima mbalimbali kimagumashi?
Kakobe amesikika mara nyingi akilalamika kutochaguliwa kama mbunge wa bunge maalumu la katiba, mpaka akamwandikia rais waraka!