Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Huu ni uzushi au kweli:gossip:
Who is he anyway!
- Aliwahi kusema Mreama atakuwa Rais...na hakuwa
- Alisema umeme wa TANESCO hautapita mbele ya kanisa lake....na ukupita
- Anadai kutibu waumini wake.......hawatibiki na sasa wamekimbilia kwa babau
Pia hawajatubu na kujutia dhambi ya ufisadi.
Ukiona hivyo ujue wanatarajia kumwalika kwenye HARAMBEE YA ujenzi!
Kama huna imani utaponaje? babu anakwambia lazima uwe na imani ndio upone.we unakurupuka na mahirizi yako unategemea utapona!!!!
hata mm nngeimba pia! Kwn alchkosea RA ni nn? Km ndguze hawajpona kwl aseme wmepna? Co wte wanaoknyw dawa ya babu wanapona! Huo ndo ukwel!
hata mm nngeimba pia! Kwn alchkosea RA ni nn? Km ndguze hawajpona kwl aseme wmepna? Co wte wanaoknyw dawa ya babu wanapona! Huo ndo ukwel!
Ulitegemea Mafisadi wapone????, Babu aliweka wazi wasioenenda sawa hawatapona...
hata mm nngeimba pia! Kwn alchkosea RA ni nn? Km ndguze hawajpona kwl aseme wmepna? Co wte wanaoknyw dawa ya babu wanapona! Huo ndo ukwel!
Ukiona hivyo ujue wanatarajia kumwalika kwenye HARAMBEE YA ujenzi!
Hivi kakobe anaweza kuweka wazi mapato ya kanisa lake na matumizi?
Kuna habari kuwa kwenye ibada ya jumapili iliyopita Askofu Kakobe aliwaongoza waumini wake kuimba 'Rostam oyee!Rostam oyee! Hii nikwasababu Rostam Aziz alijitokeza wazi wazi kupinga dawa ya babu wa LOliondo; Source msemekweli la jumapili hii
yani ujakosea mkuu ni wasanii sana
ndugu yangu mbona umekaa kishabiki zaidi? nani kakuambia umeme unaflow pale? kaulize mpaka leo umegoma. afu ujue umeme sio waya! kampeni na unabii ni vi2 viwili tofauti. alipiga kampen lakin kumbukumbu haisemi kuwa alitamka utabiri ka sheik yahaya! si mara moja watu walio pona wameweka vyeti hewani. sasa ww habari za mtaani usije kuhadithia hapa!