Hiyo haina shida nyamayao na ndio maana nimesema usubiri akupe ofa sio unalazimisha. Na bora wewe ni mumeo sasa hy ni boyfriend ana mizinga balaa akikuoa si ndio kila kitu utagharamia wewe
Naona umeandika out of emotion inawezekana ulikutana na mario huko akawa ana do the nidful kwako. Swali kwako unapoitwa kupewa ofa kwanini uende mikono mitupu bila kutembea na hela mtu anapokuita kukupa ofa unajua ana kaisi gani mfukoni? Je ukiitwa ukaishia kupewa ofa ya soda? Jinsi nyie wanawake mnavyotuomba vocha basi mkae mkijua kuwa na sisi hiyo tabia yenu inatukera kama inavyokukera wewe kuombwa vocha na mwanaume ila i guess tabia hii ya kuomba vocha wanawake ndio mmekubuhu.
hahahahaha!Umeombwa uchangie bili tu Maty je angesema ulipie na hela ya Guest si ingekuwa kilio mweh!!!!
Umeombwa uchangie bili tu Maty je angesema ulipie na hela ya Guest si ingekuwa kilio mweh!!!!
Kama kwenye first date uliwajibika itakiwavyo, then second date hutalazimika kuchangia gharama. Ila kama hukuwajibika, second date hutachangia pia kwakuwa wala haitakuwepo...You see? Fair enough! Huna gharama itakayokuhusu kwa namna yoyote ile....Juhudi zako tu...Sasa twende PM!
Nilifikiri niko peke yangu. Wanawake hawanunui vocha kazi kuombomba tu hata kwa long time one night stance.
Kama kwenye first date uliwajibika itakiwavyo, then second date hutalazimika kuchangia gharama. Ila kama hukuwajibika, second date hutachangia pia kwakuwa wala haitakuwepo...You see? Fair enough! Huna gharama itakayokuhusu kwa namna yoyote ile....Juhudi zako tu...Sasa twende PM!
hahahahaha!
angekuja na propozo ya kufanya ''matusi'' kwenye mapagale ili KUSEVU KOST:becky::becky::becky:
hivi kuna wadada wanayafanya hayo?...ni wazimu ama, yaani unatoa hela mwanaume akakulale?....yaani hata yeye hela ya kulipia tena ni shughuli, hapana huo ni msalaba tosha.
Kumbe huwa mnalalwa....??hivi kuna wadada wanayafanya hayo?...ni wazimu ama, yaani unatoa hela mwanaume akakulale?....yaani hata yeye hela ya kulipia tena ni shughuli, hapana huo ni msalaba tosha.
PM.....mmh!
King of Infidelity.....
hahahaha.....:becky::becky::becky:
hivi kuna wadada wanayafanya hayo?...ni wazimu ama, yaani unatoa hela mwanaume akakulale?....yaani hata yeye hela ya kulipia tena ni shughuli, hapana huo ni msalaba tosha.
hahahahaha!
angekuja na propozo ya kufanya ''matusi'' kwenye mapagale ili KUSEVU KOST:becky::becky::becky:
Kumbe huwa mnalalwa....??
We si hujui nini maana ya kupenda nina wadada wa 3 gharama za guest huwa juu yao mm huwa sisumbuki hata kidogo.
Mi mkazo unakuwa kwenye tumbo na kilaji...tu
:becky::becky::becky::beckykay tuendelee.....