Kaka zangu jitahidini kuulinda uanaume wenu

Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha? nisiwafiche kaka zangu ni bora usimpe mwanamke hela wewe ukumuita mpe ofa ya nguvu kisha mrudishe kwao atakuheshim lakini wewe usiombe hela kwa mwanamke ni dharau kubwa mno hata kama huna kipato kikubwa mwanamke kakuzidi we jikaushe tu anaweza kukupa mwenyewe (NOTE: MWANAUME NI AIBU KUPIGA MZINGA NI MWIKO)

Hippie...
 
Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha? nisiwafiche kaka zangu ni bora usimpe mwanamke hela wewe ukumuita mpe ofa ya nguvu kisha mrudishe kwao atakuheshim lakini wewe usiombe hela kwa mwanamke ni dharau kubwa mno hata kama huna kipato kikubwa mwanamke kakuzidi we jikaushe tu anaweza kukupa mwenyewe (NOTE: MWANAUME NI AIBU KUPIGA MZINGA NI MWIKO)

Kama umekutana na komba, unamwacha alipe maana kuna akina dada hawana aibu, yaanai ukimwitia ofa anakunywa kama ndio mwisho wa dunia. Nakumbuka kuna mmoja alikumwa mkapa hakujitamua mpaka siku ya pili ................ sasa hapo ndio nini? ....... akiwa wenyewe hajawahi kulewa ...........:nono:
 
Give a little, take a little, love is all about give and take people, if u love someone u'll be willing to give and not complain when someone wants to take a little from you.
 
Ishu c kuchuma, kuchimba wala kuvuna mapene tatizo ni kupigana mizinga inayokera na ni kwa wote wanawake na wanaume, ingawa ikifanywa na mwanaume inashangaza zaidi.
Kwann ishangaze zaidi kwa mwanaume? mi naona insue sio nani anampiga mzinga mwenzie bari ni kutokuwepo kwa free conversation ya jinsi ya kuendesha huo uhusiano,mra nyingi hii trend huwa inasababishwa namsingi(mwanzo) wa mapenzi yenu. May take NI BORA KUBORESHA ULICHONACHO KULIKO KUANZA UPYA as löng kinaweza kubadilishwa maana kila mmja wetu anamapungufu yake.
 
Kwann ishangaze zaidi kwa mwanaume? mi naona insue sio nani anampiga mzinga mwenzie bari ni kutokuwepo kwa free conversation ya jinsi ya kuendesha huo uhusiano,mra nyingi hii trend huwa inasababishwa namsingi(mwanzo) wa mapenzi yenu. May take NI BORA KUBORESHA ULICHONACHO KULIKO KUANZA UPYA as löng kinaweza kubadilishwa maana kila mmja wetu anamapungufu yake.

Umesema na kuhitimisha vyema
 
Kwani ajabu inakuwa wapi mwanaume anapomuomba mpenzi wake hela haliyakuwa mwanamke yeye anamuomba huyo mwanaume wake? Ninachotakiwa ni makubaliano baina ya wawili wenyewe.
 
Mmmmmh! Uchaguzi ulikuwa mgumu sana nimeuza nyumba na fenicha na nimekosa sasa nitaishije hapa mjini......msaada kwenye tuta jamani wadau
 
mapenzi ni kupendana na sio kupenda,mi nafikiri kama mme pendana kila mtu ananafasi ya kumridhisha mwenzie kwa hali na mali
 
Ila jamani wanaume wa siku hizi wanapenda sana kutunzwa sio siri. Tuliwahi kukaa Mango garden hapo kinondoni siku moja tukaanza mada hii mwishowe tukaishia kusema tuone wanawake wangapi wanalipa bill? Tulihesabu karibuni meza ishirini hivi tukakuta meza 16 ni wanawake ndo wanalipa bill na ukiangalia mwanaume aliyekaa nae anaonyesha kabisa ni boy/mume wake tukaishia kukubaliana wanaume wa siku hizi wanapenda sana kutunzwa na wanawake hata kama anafanya kazi.

Dena,

Nafikiri bado upo kwenye wakati wa kizamani. Siku hizi kila mtu anatafuta hela na maisha kisawasawa bila ya kujali ni mwanaume au ni mwanamke. Hata ukiangalia, siku hizi hakuna tena kai za wanaume au wanawake, zote ni sawa.

Kama umebahatika kukaa nje ya nchi kidogo haswa kwenye nchi zilizoendelea, unapoalikwa au kukaribishwa outing hii haimaanishi kwamba mwanaume ndio analipa, kila mtu analipa kivyake na huo ndio utaratibu uliozoeleka.

Aidha, ni vyema wanawake wakaelewa kwamba hii kuzoea dezo au kuzoea kupewa vya bure ndio vinawafanya wawe ni watu wa kuonewa na kunyanyaswa. Lakini cha muhimu pia ni kuondokana na mawazo finyu ya kupenda vya mteremko yaani chuma ulete...!
 
Kweli kunya anye kuku akinya bata Kaharisha, wamekuweza kudadeki zako, huyo mwanaume ndiye anayefaa,. We dada kumbuka kuwa ukinyata nawe wanyatiwa, tazama nyuma utamuona anayekunyatia ukimbie

LAKINI HAKI NI SAWA KWA WOTE MBONA MENGINE MNAYAKATAA, AU USAWA WENU NYINYI NI UPI HUO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom