Wakuchakachua
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 346
- 9
mwe wa kaka wanapenda kulelewa now dyzzzz:nono::nono::nono:
Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha? nisiwafiche kaka zangu ni bora usimpe mwanamke hela wewe ukumuita mpe ofa ya nguvu kisha mrudishe kwao atakuheshim lakini wewe usiombe hela kwa mwanamke ni dharau kubwa mno hata kama huna kipato kikubwa mwanamke kakuzidi we jikaushe tu anaweza kukupa mwenyewe (NOTE: MWANAUME NI AIBU KUPIGA MZINGA NI MWIKO)
Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha? nisiwafiche kaka zangu ni bora usimpe mwanamke hela wewe ukumuita mpe ofa ya nguvu kisha mrudishe kwao atakuheshim lakini wewe usiombe hela kwa mwanamke ni dharau kubwa mno hata kama huna kipato kikubwa mwanamke kakuzidi we jikaushe tu anaweza kukupa mwenyewe (NOTE: MWANAUME NI AIBU KUPIGA MZINGA NI MWIKO)
Kwann ishangaze zaidi kwa mwanaume? mi naona insue sio nani anampiga mzinga mwenzie bari ni kutokuwepo kwa free conversation ya jinsi ya kuendesha huo uhusiano,mra nyingi hii trend huwa inasababishwa namsingi(mwanzo) wa mapenzi yenu. May take NI BORA KUBORESHA ULICHONACHO KULIKO KUANZA UPYA as löng kinaweza kubadilishwa maana kila mmja wetu anamapungufu yake.Ishu c kuchuma, kuchimba wala kuvuna mapene tatizo ni kupigana mizinga inayokera na ni kwa wote wanawake na wanaume, ingawa ikifanywa na mwanaume inashangaza zaidi.
Kwann ishangaze zaidi kwa mwanaume? mi naona insue sio nani anampiga mzinga mwenzie bari ni kutokuwepo kwa free conversation ya jinsi ya kuendesha huo uhusiano,mra nyingi hii trend huwa inasababishwa namsingi(mwanzo) wa mapenzi yenu. May take NI BORA KUBORESHA ULICHONACHO KULIKO KUANZA UPYA as löng kinaweza kubadilishwa maana kila mmja wetu anamapungufu yake.
Ila jamani wanaume wa siku hizi wanapenda sana kutunzwa sio siri. Tuliwahi kukaa Mango garden hapo kinondoni siku moja tukaanza mada hii mwishowe tukaishia kusema tuone wanawake wangapi wanalipa bill? Tulihesabu karibuni meza ishirini hivi tukakuta meza 16 ni wanawake ndo wanalipa bill na ukiangalia mwanaume aliyekaa nae anaonyesha kabisa ni boy/mume wake tukaishia kukubaliana wanaume wa siku hizi wanapenda sana kutunzwa na wanawake hata kama anafanya kazi.