hapo mnajuaje makubaliano yao? inaweza kutokea kabisa, hata mie huwa nafanya mara moja moja nikiona hela haina mawazo namtoa mr outing, na kulipa mazaga zaga yote, mie bado cjawaelewa labda.
Duh bora umeweka wazi mwenyewe.
Kwa hiyo vp hiyo njemba unaipenda au mnamaliza ukakasi tu kila mtu kimpango wake.
Watu tunataka kutangaza nia bana weka wazi.
hahahahaha!Hahahaha mm nina sampuli zangu mpaka Teamo na Asprin wamenizidi kete hapo Chalinze unafikiri mchezo.... mitoto mitoto kweli
wanajua wanaenda kukutana na buzi ndio mana wanakokotana?....
Duh bora umeweka wazi mwenyewe.
Kwa hiyo vp hiyo njemba unaipenda au mnamaliza ukakasi tu kila mtu kimpango wake.
Watu tunataka kutangaza nia bana weka wazi.
Hiyo haina shida nyamayao na ndio maana nimesema usubiri akupe ofa sio unalazimisha. Na bora wewe ni mumeo sasa hy ni boyfriend ana mizinga balaa akikuoa si ndio kila kitu utagharamia wewe
we mkali, kip it up ili uwe unarudisha gharama zako na faida juu.Hahahahaha huwa najiwekea malengo ya gharama lakini gharama zangu haziendi hivi hivi bila kudu ze nidifull
hahahahaha!
unakiita kipuli kimoja kuinabeba na wenzie sita......
kudadadadadeki wote wanatumia BAVARIA:becky::becky::becky::becky:
...na makange ya samaki pale salenda...sahani moja sh 12000
Pole sana dada maty.....siku nyingine tafuta vidume kama sisi ambao tunaamini katika infidelity......Tuna rule yetu moja inayosema ni jukumu la infideleta kugharamia zoezi zima la infidelity kwenye first date. Usisahau second date inategemea na kilichotokea kwenye first date........
Lol amenifanya niingie nyongo kabisa sitaki mtu kabisa sasa nimeamua kubaki mwenyewe nimalizie uzee wangu kwa amani
Lol amenifanya niingie nyongo kabisa sitaki mtu kabisa sasa nimeamua kubaki mwenyewe nimalizie uzee wangu kwa amani
Fidel80 nina mpango wa kufanya mkutano wa hadhara hapo Chalinze siku za usoni nafikiri kwenye suala la logistics utakuwa umekaa vizuri hapo
hahahahah! Asprin bana!
Pole sana dada maty.....siku nyingine tafuta vidume kama sisi ambao tunaamini katika infidelity......Tuna rule yetu moja inayosema ni jukumu la infideleta kugharamia zoezi zima la infidelity kwenye first date. Usisahau second date inategemea na kilichotokea kwenye first date........
hehehehe!Hapo bado hatujaweka gharama za KAPONGO GUEST HOUSE!
hahahahaha!
unakiita kipuli kimoja kuinabeba na wenzie sita......
kudadadadadeki wote wanatumia BAVARIA:becky::becky::becky::becky:
...na makange ya samaki pale salenda...sahani moja sh 12000
kama ni hivyo haipendezi kabisa, au alivutiwa na wewe akijua una ka uwezo ndio akataka kukugeuza mamake mzazi?...na wewe ungefanya mara mbili/tatu then unamtolea uvivu kabisa ili ajue hufurahii hayo.
Unaposema second date inategemea na kilichotokea kwenye first date unamaanisha nini? nijuze kidogo