Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Ila jamani wanaume wa siku hizi wanapenda sana kutunzwa sio siri. Tuliwahi kukaa Mango garden hapo kinondoni siku moja tukaanza mada hii mwishowe tukaishia kusema tuone wanawake wangapi wanalipa bill? Tulihesabu karibuni meza ishirini hivi tukakuta meza 16 ni wanawake ndo wanalipa bill na ukiangalia mwanaume aliyekaa nae anaonyesha kabisa ni boy/mume wake tukaishia kukubaliana wanaume wa siku hizi wanapenda sana kutunzwa na wanawake hata kama anafanya kazi.
hapo mnajuaje makubaliano yao? inaweza kutokea kabisa, hata mie huwa nafanya mara moja moja nikiona hela haina mawazo namtoa mr outing, na kulipa mazaga zaga yote, mie bado cjawaelewa labda.