embojo, nataka kukuchallenge tu uuchunguze moyo wako. Angekuwa alichukua hiyo mirathi na kwenda kulima shinyanga na akakata mawasiliano, ungeumia kwa kiasi hichi? OLESAIDIMU, ungeichukuliaje hii? Ungekuwa worried kama jamaa yuko ok na anapata hata mlo ama?
Mtaje jina achanike live hapa kama kweli umemmaind!!!!
Hawa watu huwa wana matatizo saana, bro yuko pale London toka 2004 kwa sasa ni associates prof huko majuu ila hajawahi kutuma hata khanga kipande kwa mom wala anunue shati akate mikono atume kwa mdogo wake..!! Duh!!
Mother kaweka nadhiri na utabiri kama wa joshua kwamba prof lazma atarudi nyumbani punde akiwa majalala...tunasibiri tuone!! Maana naskia maza ni mungi wa pili!!
embojo, nataka kukuchallenge tu uuchunguze moyo wako. Angekuwa alichukua hiyo mirathi na kwenda kulima shinyanga na akakata mawasiliano, ungeumia kwa kiasi hichi? OLESAIDIMU, ungeichukuliaje hii? Ungekuwa worried kama jamaa yuko ok na anapata hata mlo ama?
Tuko pamoja asilimia 100% tatizo langu ni source ya income aliyotumia kuondoka bongo na pia it's not just ndugu he is my only brother hakuna mwingine.Kuhusu kufight I have been there na bado naendelea with or without him.Tatizo no connections no communication no nothing suppose he dies Kama LUKINDO what will happen will I get to know and How?! au ndo ntaletewa MAITI home au ikiwa mbaya zaidi nsiimuone tena maishani
Ps:We went to school tog and grew up in the same hood and used to be around much for us as a family,where is that all gone,naongea kwa uchungu,hii siyo hekaya msiniquote wrong
Ulishawaza kama huo urithi usingekuwepo maisha yangekuwaje?! Kama wangezaliwa na baba maskiniii, afu akawaacha hapo na bro akazamia meli afu akakata communication? Aisee mie unachonipa narudisha mara milioni. Ukinipa upendo nakupenda hadi uombe poo. Ukinishit mara moja ntakushiti hadi ujishangae. Ntaumia ofcoz lakini siwezi kuumia mwaka mzima. Najua nikiwapa nafasi wanaonizunguka watanipenda pengine kuliko wewe unaenishiti! Maisha marahisi haya jamani, acheni ngebe!
Nina kaka wa damu ughaibuni ila amenitenga na hivyo hatuna mawasiliano mazuri kwa mda sasa.Huyu Jamaa wakati Maza alifariki tulijadiliana aende ughaibuni kwa kuchukua fedha alizoacha marehemu mama kwa ajili ya yeyey na Mimi kusaidiana,sasa amenitenga na ni Kama amenisahau na tunazaliwa wawili tu kwa baba na mama.Naskia hasira na ma chungu nkimkumbuka Jamaa na amenisababisha kuhate all diasporas will all my heart
Hahaha...mh usimtie vijiti vya sikio mwenzio...leo wamegombana kesho watapatana...'ndugu wakigombana chukua jembe ukalime'
Kuna maumivu huondoka kwa maumivu zaid then unapona mazima!!!!!!!!
Hapa wanasoma wengi sana na inawezekana yupo, au watu wanamfahamu sasa kumuacha mdogo wake yatima kwa mara ya pili baada ya kuondokewa na mama ni nini mpaka aendelee kuwa mafichoni!!!!!??????
Imagine heading ina neno "amenitenga" na sio jambo lingine , this boy is in pain, ingia kwenye viatu vyake then uone.....jamaa huyu mkubwa hamtendei dogo freshi kabisaa!!! Kama hakieleweki amueleze tuu kwa anavyoandika hapa kama ha pretend ana akili ya kuelewa na kukubali!!!!
Hii kama ya kutunga, source na picha please
Mtaje jina achanike live hapa kama kweli umemmaind!!!!
Maza manake nini? Kuwa na heshima dogo
Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk