Kaka yake Humphrey Polepole nadhani hayupo Serious ni wa kumpuuza kwa sasa

Kaka yake Humphrey Polepole nadhani hayupo Serious ni wa kumpuuza kwa sasa

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
13,625
Reaction score
29,891
Kama angekuwa amemkamata Mafwele sidhani kama mtu serious anamkamata na kumwachiai. Huo ni uongo wa mchana.

Mtu ambaye amemteka ndugu yako au kamuua. Unamkata unamwachia? Yaani unaona adhabu yake ni hiyo kama ni kweli? Ni uongo. Aanze kuwa serious.

Huyu bwana mdogo anaongea sana vitendo hamna. Wanajeshi hawapaswi kila siku kuongea ongea kama akina Lucas Mwashambwa. Wanapaswa kutenda halafu wanaongea kidogo. Maneno machache vitendo vingi.

Jamaa anatema sana mkwara lakini hatuoni vitendo. Mpaka najiuliza je naye anatumika kufubaza mambo au inakuaje? Mpaka sasa hatujapata majibu kabisa. Halafu anakuja kusema alipita Kigamboni na nyumba aliyopo ndugu yake anaifahamu. Halafu? Akamwacha humo humo?

Hivi yupo serious kweli? Au anafanya ucheshi? Aache ubwege sasa
 
Augustino anaonekana amekata tamaa anategemea taarifa za mitandaoni.
Hizi taarifa nyingi ni za uzushi au za kweli ila zimeongezwa uongo.
Huyo kamanda sidhani kama amefikiwa kweli.
Kwa jinsi anavyotuhumiwa nadhani wangemuuwa kwa kisasi na ushahidi wangeweka hadharani.
 
Mafwele kweli limemkuta jambo...
Kwani yeye ni nani asifikiwe?

Kulikuwa kuna safisha safisha hadi ndani ya jeshi baada ya kuonekana kuna jw hawailewi serikali kwenye sakata lakuelekea uchaguzi mkuu , na kuna clip moja Mafwele alisema 'Tesha ni muhuni na amekimbia nchi' na akasema kuna jw wengine waliwakamata... alizungumzia masuala ya hatari ikiwemo kuwatoa uhai.

Hivyo kuna uwezekano alihusika kwenye kamatakamata ya jw ambao walibainika kuwa kinyume na serikali , na pengine kuwaadhibu n.k... maana anakiherehere sana..

Sasa kama alikuwa target ya wengi , kwanini wasimuweke mtu kati...
 
Mafwele kweli limemkuta jambo...
Kwani yeye ni nani asifikiwe?

Kulikuwa kuna safisha safisha hadi ndani ya jeshi baada ya kuonekana kuna jw hawailewi serikali kwenye sakata lakuelekea uchaguzi mkuu , na kuna clip moja Mafwele alisema 'Tesha ni muhuni na amekimbia nchi' na akasema kuna jw wengine waliwakamata... alizungumzia masuala ya hatari ikiwemo kuwatoa uhai.

Hivyo kuna uwezekano alihusika kwenye kamatakamata ya jw ambao walibainika kuwa kinyume na serikali , na pengine kuwaadhibu n.k... maana anakiherehere sana..

Sasa kama alikuwa target ya wengi , kwanini wasimuweke mtu kati...
Sure, anaanza kuwa takataka,.mwanasesere. Mimeona clip yake mpaka nikasikia kinyaa
 
Mafwele kweli limemkuta jambo...
Kwani yeye ni nani asifikiwe?

Kulikuwa kuna safisha safisha hadi ndani ya jeshi baada ya kuonekana kuna jw hawailewi serikali kwenye sakata lakuelekea uchaguzi mkuu , na kuna clip moja Mafwele alisema 'Tesha ni muhuni na amekimbia nchi' na akasema kuna jw wengine waliwakamata... alizungumzia masuala ya hatari ikiwemo kuwatoa uhai.

Hivyo kuna uwezekano alihusika kwenye kamatakamata ya jw ambao walibainika kuwa kinyume na serikali , na pengine kuwaadhibu n.k... maana anakiherehere sana..

Sasa kama alikuwa target ya wengi , kwanini wasimuweke mtu kati...
Yaani wamuweke Mtu Kati then wamuachie akiwa hai you can't be serious
 
Kama angekuwa amemkamata Mafwele sidhani kama mtu serious anamkamata na kumwachiai. Huo ni uongo wa mchana.

Mtu ambaye amemteka ndugu yako au kamuua. Unamkata unamwachia? Yaani unaona adhabu yake ni hiyo kama ni kweli? Ni uongo. Aanze kuwa serious.

Huyu bwana mdogo anaongea sana vitendo hamna. Wanajeshi hawapaswi kila siku kuongea ongea kama akina Lucas Mwashambwa. Wanapaswa kutenda halafu wanaongea kidogo. Maneno machache vitendo vingi.

Jamaa anatema sana mkwara lakini hatuoni vitendo. Mpaka najiuliza je naye anatumika kufubaza mambo au inakuaje? Mpaka sasa hatujapata majibu kabisa. Halafu anakuja kusema alipita Kigamboni na nyumba aliyopo ndugu yake anaifahamu. Halafu? Akamwacha humo humo?

Hivi yupo serious kweli? Au anafanya ucheshi? Aache ubwege sasa
Mimi niliwaonya kuwa huyu msanii tu tangu aliposema Polepole ana chip.
 
Back
Top Bottom