YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
udugu selfika inagoma ku open, ina loads tyuuh,
Sijui shida nn lol.
Ushapitwa




Jana kulikua na kivumbi, mchawi kanyolewa nywele bila kutia maji kichwani
udugu selfika inagoma ku open, ina loads tyuuh,
Sijui shida nn lol.




Dada zenu wanaolewa na kabila lolote Lakini?Nyie ni matako huko kwenu hakuna wanawake
Wewe unachuk na wachaga coz walikuzalisha na kukunyang'anya mtoto
Pambanen na hali zenu kuna kitu hamkijui nyie kyasaka wachaga haturuhusiwi kuoa kabila lingine ila kuzaa nao sawa ila sio kuoa kwa hiyo usijidanganye ukizaa na mchaga atakuoa utasubir sanaaa anaenda kuoa kwao
Ukitaka support ya kifedha na ndinga kali kukamilisha zoezi najitolea free of charge ili umtie adabu huyo jamaaUshauri wako nitaufanyia kazi
Mie hata siwapendi, ni wabaya na robo afu wabaya tena.
Kule kuna visu vyenye mchanganyiko wa damu ya wajukuu wa mtumeHasa kule Sangamwalugeesha😆
Punguzaaa hasiraa kijanaa... umaskin wako wachaga wanahusika nao vip??Hakuna kabila mavi Kwa ukabila kama, wachaga na wamasai. Wachaga hata shetani anawakataa
🤣🤣🤣🚴🚴🚴 nina riziki halali sio kama wizi na dhuluma za kichaga, karibu upate ladha ya pesa tembelea Dodoma na Sakina Arusha ujioneePunguzaaa hasiraa kijanaa... umaskin wako wachaga wanahusika nao vip??
Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu nimeona Babe akiitwa 'mkuu'.........Hili litakuwa ni penzi la kikomando🚶🚶🚶Mimi ni mchaga mkuu.
Manzi ametoa msimamo gani?Kuna pisi nilizoeana nayo since last year na tumekuwa nayo very close na tumeshasex kama Mara mbili.
Ila cha kushangaza juzi alipita kaka yake akatuona ila hakusema chochote mpaka baadae dem ananiambia kuwa kaka yake amemkataza kuwa na mimi sababu mie sio mchaga.
Hii imenikata sana kumbe bado tunadate kimakabila![]()
Siku hizi sikuoni maeneo yetu ya bataMimi ni mchaga mkuu.
Wapi huko? Uwe unaniita basiSiku hizi sikuoni maeneo yetu ya bata
Kumbe wewe ni Babe'.Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu nimeona Babe akiitwa 'mkuu'.........Hili litakuwa ni penzi la kikomando🚶🚶🚶
Tafuta hela wewe....Kuna pisi nilizoeana nayo since last year na tumekuwa nayo very close na tumeshasex kama Mara mbili.
Ila cha kushangaza juzi alipita kaka yake akatuona ila hakusema chochote mpaka baadae dem ananiambia kuwa kaka yake amemkataza kuwa na mimi sababu mie sio mchaga.
Hii imenikata sana kumbe bado tunadate kimakabila![]()