Kaka yake hanitaki kisa mie sio mchaga

Kaka yake hanitaki kisa mie sio mchaga

Nyie ni matako huko kwenu hakuna wanawake
Wewe unachuk na wachaga coz walikuzalisha na kukunyang'anya mtoto
Pambanen na hali zenu kuna kitu hamkijui nyie kyasaka wachaga haturuhusiwi kuoa kabila lingine ila kuzaa nao sawa ila sio kuoa kwa hiyo usijidanganye ukizaa na mchaga atakuoa utasubir sanaaa anaenda kuoa kwao
Dada zenu wanaolewa na kabila lolote Lakini?
 
Hakuna kabila mavi Kwa ukabila kama, wachaga na wamasai. Wachaga hata shetani anawakataa
 
...........very close na tumeshasex kama Mara mbili.................

vijana mna safari ndefuuu, hata ingekuwa mnafanya kila sikuuu, ukweni hukubalikiiii.
 
Punguzaaa hasiraa kijanaa... umaskin wako wachaga wanahusika nao vip??
🤣🤣🤣🚴🚴🚴 nina riziki halali sio kama wizi na dhuluma za kichaga, karibu upate ladha ya pesa tembelea Dodoma na Sakina Arusha ujionee
 
Kuna pisi nilizoeana nayo since last year na tumekuwa nayo very close na tumeshasex kama Mara mbili.

Ila cha kushangaza juzi alipita kaka yake akatuona ila hakusema chochote mpaka baadae dem ananiambia kuwa kaka yake amemkataza kuwa na mimi sababu mie sio mchaga.

Hii imenikata sana kumbe bado tunadate kimakabila
Manzi ametoa msimamo gani?

Maana ulichofanya hapa ni kuja kutangaza maoni ya kaka yake (hearsay) na haujaweka mazungumzo thereafter....
 
Kuna pisi nilizoeana nayo since last year na tumekuwa nayo very close na tumeshasex kama Mara mbili.

Ila cha kushangaza juzi alipita kaka yake akatuona ila hakusema chochote mpaka baadae dem ananiambia kuwa kaka yake amemkataza kuwa na mimi sababu mie sio mchaga.

Hii imenikata sana kumbe bado tunadate kimakabila
Tafuta hela wewe....
Hata ulivyoandika unaonekana tu huna hela....
 
Back
Top Bottom