reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,426
- 29,306
Mimi mwenyewe ni mchagga kisa sina pesa kuwa nao ni ishuu sema nini! Sijawahi kuwapenda hata wala hawanitishi.Wachaga wanaukabila sana, hasa umkute demu wa kichaga ambae kwao pesa zipo alafu wewe bado hujayapatia maisha, aisee utaundiwa zogo ni hatari.
Mimi kama Chief Lumanyika kutoka Bukoba, nikikikutana na Demu akaniambia na Mchaga automatically stimu zinaisha, japo sio Wachaga wote ila wengi wao wanaotoka huko kwao Uchagani, na wenye pesa wengi wanaukabila.
At least wasukuma, mimi nimewai kwenda mpaka Usukumani na sijawahi kukutana na ukabila kwa Wasukuma... Unapewa mpaka mke bure Usukumani.
Mpaka mnakutanizwa na kaka yake, kuna uwezekana amekuona kabisa wewe mwenyewe haujielewi. Usikute demu mwenyewe huwa unamvizia akiwa ametumwa, and yet uma mobilise mashabiki kibao waone kuwa wewe mdiye unakokota.Kuna pisi nilizoeana nayo since last year na tumekuwa nayo very close na tumeshasex kama Mara mbili.
Ila cha kushangaza juzi alipita kaka yake akatuona ila hakusema chochote mpaka baadae dem ananiambia kuwa kaka yake amemkataza kuwa na mimi sababu mie sio mchaga.
Hii imenikata sana kumbe bado tunadate kimakabila![]()
Jamaa anaona kapata dodo mimi hapa nilipo nishakosa imani na wachagga wenzangu.TENA UKIWEZA NENDA KATOE SADAKA YA SHUKRANI,
KUNA KITU KIKUBWA SANA UMEKIHEPUKA!
NDOA/MAHUSIANO NA WACHAGA NI MATESO SANA.
OGOPA NDOA NA MCHAGA AISEEE...
ACHA WAOANE WAO KWA WAO.
Mbna kuna wachaga wameoa makabila mengine.Nyie ni matako huko kwenu hakuna wanawake
Wewe unachuk na wachaga coz walikuzalisha na kukunyang'anya mtoto
Pambanen na hali zenu kuna kitu hamkijui nyie kyasaka wachaga haturuhusiwi kuoa kabila lingine ila kuzaa nao sawa ila sio kuoa kwa hiyo usijidanganye ukizaa na mchaga atakuoa utasubir sanaaa anaenda kuoa kwao
Wee umevurugwa? Hata kudate na mchaga siwezi, ndo nizae nae kabisaaa?? Hilo balaa linipitie kushoto.Matatizo ya kuzaa na mchaga ukitegemea atakuoa hizo chuki zitakuumiza mwenyewe
Kwa kias chake nawafahamu kiundaniii.inaonekana unawajua kiundani sanaa, au kuna ndugu yako kaoa mchaga au kuolewa na mchaga?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Ongezaa sautiiii.Lakini wachaga walio zaliwa nje ya uchagani na kusoma na kuishi pamoja na jamii tofauti wanakuwa wapo vizuri, ila waliozaliwa uchagani na kuja mjini wanakuwa na roho mbaya.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Kwani wewe ni binti.Wee umevurugwa? Hata kudate na mchaga siwezi, ndo nizae nae kabisaaa?? Hilo balaa linipitie kushoto.
Hapana ni kijana.Kwani wewe ni binti.
Sawa kijana binti siyo 😆😆😆Hapana ni kijana.
Wewe nyau emu njoo selfika kuna content muhimu![]()


udugu selfika inagoma ku open, ina loads tyuuh,