Kaka yake hanitaki kisa mie sio mchaga

Kaka yake hanitaki kisa mie sio mchaga

Mwisho wa siku atembezewe visu ndo aridhike 😀
Atembezewe visu na nani? Mbna ni uchuro kabisa Kaka kumkatalia dada mwanaume wa kuwq nae, ikiwa umri na muda unaruhusu.

Kwa desturi ya kwetu.
 
Kuna pisi nilizoeana nayo since last year na tumekuwa nayo very close na tumeshasex kama Mara mbili.

Ila cha kushangaza juzi alipita kaka yake akatuona ila hakusema chochote mpaka baadae dem ananiambia kuwa kaka yake amemkataza kuwa na mimi sababu mie sio mchaga.

Hii imenikata sana kumbe bado tunadate kimakabila
TENA UKIWEZA NENDA KATOE SADAKA YA SHUKRANI,
KUNA KITU KIKUBWA SANA UMEKIHEPUKA!
NDOA/MAHUSIANO NA WACHAGA NI MATESO SANA.
OGOPA NDOA NA MCHAGA AISEEE...
ACHA WAOANE WAO KWA WAO.
 
Wachaga wanaukabila sana, hasa umkute demu wa kichaga ambae kwao pesa zipo alafu wewe bado hujayapatia maisha, aisee utaundiwa zogo ni hatari.

Mimi kama Chief Lumanyika kutoka Bukoba, nikikikutana na Demu akaniambia na Mchaga automatically stimu zinaisha, japo sio Wachaga wote ila wengi wao wanaotoka huko kwao Uchagani, na wenye pesa wengi wanaukabila.

At least wasukuma, mimi nimewai kwenda mpaka Usukumani na sijawahi kukutana na ukabila kwa Wasukuma... Unapewa mpaka mke bure Usukumani.
HAO WATU WAZURI TU MACHOPNI PA WATU , NI WANYAMA NA KATILI SANA HUKO MAJUMBANI KWAO.
 
nilitaka nikupatie ushauri wa kumpachika huyo binti mimba ila sidhani kama itawezekana. Kama tangu mwaka jana hadi leo mme sex mara mbili tu. Inawezekana pia huyo bro wake amekuona wewe jamaa ni boya, you need to be a tough guy
Bro kaona amtafutie sababu... yaani mara mbili tu aisee mwaka mzima... Huyu anywangwanywe mke tu huyu hafai
 
Bro anataka mtu wa kumpelekea dada yake moto mkali, we unapiga mara mbili tu kwa mwaka chief... Amka... gegeda huyo mtoto usiwe mnyonge
 
Back
Top Bottom