Kaka yake hanitaki kisa mie sio mchaga

Kaka yake hanitaki kisa mie sio mchaga

Wachaga wanaukabila sana, hasa umkute demu wa kichaga ambae kwao pesa zipo alafu wewe bado hujayapatia maisha, aisee utaundiwa zogo ni hatari. Mimi kama Chief Lumanyika kutoka Bukoba, nikikikutana na Demu akaniambia na Mchaga automatically stimu zinaisha, japo sio Wachaga wote ila wengi wao wanaotoka huko kwao Uchagani, na wenye pesa wengi wanaukabila. At least wasukuma, mimi nimewai kwenda mpaka Usukumani na sijawahi kukutana na ukabila kwa Wasukuma... Unapewa mpaka mke bure Usukumani.
🤣🤣Huko unapewa mke bure manake wao ni hopeless
Wanaona wewe kama ndo mwokozi wao umekuja🤣🤣
 
Kuna pis nilizoeana nayo since last year na tumekuwa nayo very close na tumeshasex kama Mara mbili ila cha kushangaza juzi alipita kaka yake akatuona ila hakusema chochote mpaka baadae dem ananiambia kuwa kaka yake amemkataza kuwa na mimi sababu mie sio mchaga. Hii imenikata sana kumbe bado tunadate kimakabila
Hataki muambukizane umasikini...
 
nilitaka nikupatie ushauri wa kumpachika huyo binti mimba ila sidhani kama itawezekana. Kama tangu mwaka jana hadi leo mme sex mara mbili tu. Inawezekana pia huyo bro wake amekuona wewe jamaa ni boya, you need to be a tough guy
 
Wachaga wanaukabila sana, hasa umkute demu wa kichaga ambae kwao pesa zipo alafu wewe bado hujayapatia maisha, aisee utaundiwa zogo ni hatari.

Mimi kama Chief Lumanyika kutoka Bukoba, nikikikutana na Demu akaniambia na Mchaga automatically stimu zinaisha, japo sio Wachaga wote ila wengi wao wanaotoka huko kwao Uchagani, na wenye pesa wengi wanaukabila.

At least wasukuma, mimi nimewai kwenda mpaka Usukumani na sijawahi kukutana na ukabila kwa Wasukuma... Unapewa mpaka mke bure Usukumani.
Ulige! Ulige! Iwee!!
 
Back
Top Bottom