mume wako anaitwa naniHahaha hao ni wale wanawake mnaaoa mmekutana club...
Mpk unaoa ulikua hujui km hajui kazi...kabla hujaoa msome..mlete ghetto uone anachofanya..
By the way wako warembo ambao kazi zooteee tunajua..km unabisha njoo umuulize mme wangu....lol
Niko tayari kuolewa mitala na mwanaume wa hiviSasa huyo ni MKE au mfanyakazi wa nyumbani?Mambo ya MKEO ndiyo awe anapika na kufua ni MAMBO ya zanani sana mkuu!Mke ni mshauri wangu mkuu pia ni mtu wangu wa karibu kimwili na kiroho!
Mke wangu kupika ni weekends tu tukiwa home tena anapika chakula chetu tu!Tuache haya mambo kugeuza mke kama mfanyakazi!!Chakula cha watu wote hapa kwangu wapo wanaopika sio WIFE
Ahahahaha ni PM tuanze mchakato!Nipo Mbeya
Jina lenyewe tofali,mumeo akikuzingua si unampiga tofali la kichwa weweHahaha hao ni wale wanawake mnaaoa mmekutana club...
Mpk unaoa ulikua hujui km hajui kazi...kabla hujaoa msome..mlete ghetto uone anachofanya..
By the way wako warembo ambao kazi zooteee tunajua..km unabisha njoo umuulize mme wangu....lol
AiseeJina lenyewe tofali,mumeo akikuzingua si unampiga tofali la kichwa wewe
Sasa huyo ni MKE au mfanyakazi wa nyumbani?Mambo ya MKEO ndiyo awe anapika na kufua ni MAMBO ya zanani sana mkuu!Mke ni mshauri wangu mkuu pia ni mtu wangu wa karibu kimwili na kiroho!
Mke wangu kupika ni weekends tu tukiwa home tena anapika chakula chetu tu!Tuache haya mambo kugeuza mke kama mfanyakazi!!Chakula cha watu wote hapa kwangu wapo wanaopika sio WIFE
Ahahahaha ni PM tuanze mchakato!Nipo Mbeya
Kama unapika mwenyewe kwa kupenda is OK!Lkn kufanya kupika ni majukumu ya lazima ya mke wangu HAPANAjamani mi nimekupenda bure ila nimezoeshwa mfumo dume ntajikuta nshajitutumua kukupikia asubuh sasa itakuwa balaa
100% you got my support manI'm one up on you hommie.
Me and my [imaginary] wife cook together😉.
And I can vouch to you that that is one of the most romantic things you and your better half can do.
I mean, what's more romantic than cooking dinner together at home and eat it under candlelight.....?
Marriage is a two-way street. In order for it to be successful, a lot of give-and-take is required from both husband and wife.
The synergistic effect of working together as a tag team just can't be beat.
I can't be an arrogant and domineering husband. My [imaginary] wife is my life partner. Not my maid.
Siyo swala la kazi zote za ndani mkuu ishu ni kwamba uwe na mke ambaye ni msafi wa asili siyo kubumba owa wewe mwenye kucha za kubandika, kope za kubandika, Wigi au aliyefuga kucha alafu uwe na mtoto mdogo ndani utamkumbuka mtoa mada.Mimi sijaelewa hivi unapooa mke unatarajia kuwa ni mfanyakazi wako wa kukufulia.
Kudeki kukupikia na mengine badilikene bwana mwanamke kazi yake ni moja tu haya mambo mengine ni msaada.
Na mnatakiwa msaidizane wote.
Lakini huku kwetu afrika tumegeuza wanawake ndiyo wafanyakazi wa kazi zote za ndani lol
wavivu mpaka kitandani.Ni kweli kabisa kaka. Mademu wa sasa vimeo tu. Yaan ni wavivu sana
Bado wanasomana tabia.umeolewa lini?
Ila labda tuseme kitu kimoja hivi unapokwenda kuoa mwanamke wa jinsi hiyo unataraji nini.Siyo swala la kazi zote za ndani mkuu ishu ni kwamba uwe na mke ambaye ni msafi wa asili siyo kubumba owa wewe mwenye kucha za kubandika, kope za kubandika, Wigi au aliyefuga kucha alafu uwe na mtoto mdogo ndani utamkumbuka mtoa mada.
Siku hizi maisha ni kusaidiana. Mume na mke ni kama msanii na producer wote inatakiwa wategemeane.Hivi unaoa mfanyakaaaziii au mke?
By z way pia nyie mbona mizigooo hata kuhudumia familia na tunavumilia hatulalamiki? Fanyeni utafiti zaidi ya 80% ya familia sasa wanawake ndio wanazitunza wanaume wakoo tuuu kama mapambo.
Wkt mwngne kaolewa anayeyajua yote na thamani yake haionekani kila siku yeye kulizwaa kukacrishwa.
Wengine wameishia kujitumaaaa na ndoa hakuna kaolewa mwinginee mwenye mikuchaa hiyooo kama zimwiii cjui hata chupi afuaje muda woote mek up haimkaukiii na mume haoni mzigo kama wa yule aliyekuwa busy kuhakikisha kila kitu ndani anafanya yeye ila utaambiwa alikuwa anivutii maana saa ngapi angejijaza magibsam podaaa na kuwa kama mdoli!
Acheni majunguu mmeyataka wenyewe unafk wa nini sasa?
Sura haitoi mtu out sasa natoa out jitu hata halinifulii nguo kupika apike dada acha ujinga kuoa its not only about kutoka out fikiri kwa upana.ulichosema hapo n fact ila kama wazur tuu ndo waolewe wabaya watabak na nana by the way wabaya hao ukimwoa anakuzalia matoto ya maana kinyama (ie, vivwanda vyao vya kutengeneza watoto viko sawa sana).
Ndiyo maana unakaa kwenye nyumba ya wazazi wako mpaka unazeeka kalia hayo ukifa watoto watakula hiyo figure na akili ya huyo mke wenye zero thinking capacity.Kuosha mavyombo,kufua,sijui kudekideki,,sijuimausafi gani vile aaaaah sio insue sana kwa mrembo wangu yann aote sugu za mikono bure,,mtoto mlain,,sura nzuri,,kishepu flan hiv amazing yaan nikimwona tu ndushe inasimama huyo ndio nae mtaka mm,,ajifunze zaid maujuz ya kitandani
Pesa ipo yann kumdekisha mrembo wangu,,atafanya mazoez ya kujenga fige sio manyama uzembe yaan mm nangalia uzuri tuuu mengine tutarekibishana