Na kweli... Mi wangu nitakua namnyoa mwenyewe lolsNjia rahisi kuepuka hayo nunua mashine yako unyolewe na mkeo.
Loooooh!!! Natamani niwe mimi lols!Na kweli... Mi wangu nitakua namnyoa mwenyewe lols
Ooh mpe bibie nafasi akuhudumie naweLoooooh!!! Natamani niwe mimi lols!
Hebu ijaribu kama inaburudisha tujuze na wengine tuijaribuhhahaha hiyo huduma nilikua siijui mkuu!
Kama shilingi ngapiMaeneo ya Sinza utasikia "Kaka nicusikirabu"...ukisema hapana, atakuambia..."Nywele zako zina mba nikuoshe na dawa"..utasikia kaa basi kwenye foleni ya ili usubiri kuoshwa kichwa...wakati mwingine huwa naondoka tu na nywele zangu...
Na olewako ukubali kufanyiwa hayo yote utajuta hyo bili utakayoletewa,...
Mi naisubiri dawa ya jamaa ichemke anigawie kidogoDuh! Pole sana kiongozi.
Niligombana na mmoja aliyeniambia anipake poda...Alaf wakiwa wanakuuliza kama unafanya scrub huku wanakuangalia usoni as if una masinzi yanayotakiwa kusuguliwa.."
Halafu we ndo udanganye una honga wekundu watanoMe hao wamesababisha niwe nanyoa kwa vinyozi wale wa chini ya mti
Hahahaah ndio ukweli huo wala sio uongoHalafu we ndo udanganye una honga wekundu watano
niliwahi kuletewa bill 30,000 kuuliza naambiwa eti walinipaka chumvi ,tena chumvi hii tunayoijua sodium chloride usoni kwa sh 15000 wakati robo kilo ya chumvi dukani sh 200Maeneo ya Sinza utasikia "Kaka nicusikirabu"...ukisema hapana, atakuambia..."Nywele zako zina mba nikuoshe na dawa"..utasikia kaa basi kwenye foleni ya ili usubiri kuoshwa kichwa...wakati mwingine huwa naondoka tu na nywele zangu...
Na olewako ukubali kufanyiwa hayo yote utajuta hyo bili utakayoletewa,...