SoNotorious
JF-Expert Member
- Sep 11, 2011
- 2,422
- 859
Maadili yanahusika hapa, hao watoto wangelelewa katika Tabia za kiislam wasingethubutu kufanya hayo.
Labda wangekuwa magaidi!Maadili yanahusika hapa, hao watoto wangelelewa katika Tabia za kiislam wasingethubutu kufanya hayo.
Acha fikra changa waarabu na uislam wao ndio wanaoongoza kwa kuoa ndugu zao
Maadili yanahusika hapa, hao watoto wangelelewa katika Tabia za kiislam wasingethubutu kufanya hayo.
Walikuwa wanafanya nini?
du mtaa wa pili ngoja nimtafte shost angu anipe umbeya,hii kaz nayo inaninyima umbea wa kitaa
Kweli wewe ni great thinker...Na kama ingekuwa umeulizwa wewe nadhani ungekuwa greater thinker...Wewe ni ---- na wale wote wenye swali kama lako kwenye uzi huu. Inamaana hujui maana ya fumanizi? mpaka watamke ngono? hacha utoto, au ulishawahi kunanii na dada/kaka yako?(hapo jifanye kuuliza maana yake), are you not great thinker?
Aisee nyie mnaonzisha malumbano ya kidini mnaboa sana mjue.
Ni tukio linatokea sasa hivi hapa Tabata mtaa wa Amani. Kaka na dada ambaye wamezaliwa baba na mama mmoja wamefumaniwa katika nyumba yao.
Wazazi wa watoto hao walikuwa wametoka kwa matembezi kurudi ndio wanakutana na mkasa huo. Hivi sasa wananchi wanatembeza kichapo kwa kaka, dada amekimbia hajulikani yuko wapi.
Inasemekana kaka ana miaka 21 na mdogo wake ni 18.
Dunia imekwisha, kaka na dada?
Sijui binadamu tunaelekea wapi?
Nani wa kulaumiwa?!
Kule kwetu haka kamchezo kanaitwa 'kamchezo ka waislamu'