Kaini alipata wapi mwanamke wa kuoa?

Kaini alipata wapi mwanamke wa kuoa?

john achila mukumwa

Senior Member
Joined
Jan 4, 2024
Posts
131
Reaction score
268
Kaini alipata wapi mwanamke wa kuoa?

Kaini, baada ya kumuua ndugu yake Abeli, alikimbilia katika nchi ya Nodi (Mwanzo 4:16).
Nodi (Kiebrania) maana yake ni kutanga-tanga. Hivyo, Kaini alikwenda nchi isiyojulikana.

Je, huko alipatia wapi mke na kuzaa naye watoto?

Ukisoma kitabu cha Mwanzo 5:1-5, utaona:
“1Hiki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu. Siku ile Mungu alipoumba mtu, kwa sura ya Mungu alimfanya;
2 mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.
3 Adamu akaishi miaka mia na thelathini, akazaa mwana kwa sura yake, kwa mfano wake, akamwita jina lake Sethi.
4 Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, AKAZAA WANA, WAUME NA WAKE
5 Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia kenda na thelathini, naye akafa.”

Kwenye mstari huo wa 4, utaona kuwa kumbe mbali ya Kaini na Abeli kuzaliwa na Adamu, kulikuwa na wana wengine wa kike na wa kiume waliokuja kuzaliwa kwenye familia yao. Ndiyo huko huko, Kaini alipojitwalia mke, yaani kutoka ndani ya familia hiyo hiyo ya Adamu.

Swali linakuja kuwa, kama KAINI alitwaa mke ambaye alizaliwa na Adamu na Hawa, ambao ni wazazi wake, hiyo ina maana kuwa alimuoa dada yake. Je, ni halali kumuoa mwanamke ambaye ni dada yangu wa damu?

Kumbuka kuwa hata Adamu mwenyewe hakwenda kumtwaa mke kutoka kwenye familia nyingine, bali kutoka katika ubavu wake mwenyewe. Hivyo, kama ni undugu, basi Adamu na Hawa wana undugu mkubwa zaidi ya dada na kaka.

Kumbuka pia kuwa hata Ibrahim alioa dada yake wa baba mmoja, yaani mtoto wa mama mwingine kwa baba yake (Mwanzo 20:12). Kwa wakati huo, Mungu aliruhusu iwe hivyo mwanzoni, kwa ajili ya uzazi, ili watu waongezeke.

Lakini baadaye Mungu alitoa maagizo kuwa ni makosa mtu kutwaa ndugu wake wa karibu na kumfanya kuwa mke wake.

Hebu thibitisha hilo kupitia kitabu cha Mambo ya Walawi 18:
6 “Mtu ye yote aliye wa kwenu asimkaribie mwenziwe aliye wa jamaa yake ya karibu ili kumfunua utupu; mimi ndimi Bwana”.
Na pia mstari wa 9 unasema:
9″ Utupu wa umbu lako, binti ya baba yako, au binti ya mama yako, kwamba alizaliwa nyumbani mwenu au kwamba alizaliwa kwengine, utupu wa hao usifunue”.

Kwa hiyo, mbali na Kaini na Abeli kuzaliwa na Adamu, kulikuwa na wana wengine wa kike na wa kiume waliokuja kuzaliwa kwenye familia yao. Ndiyo huko huko Kaini alipojitwalia mke, yaani kutoka ndani ya familia hiyo hiyo ya Adamu. Kwa wakati huo, Mungu aliruhusu hiyo hali, ili watu waongezeke.

Baadaye, Mungu alitoa maagizo kuwa ni makosa mtu kutwaa ndugu wake wa karibu na kumfanya kuwa mke wake.

Hivyo, kwa sasa, ni machukizo kuoa ndugu yako ye yote yule wa karibu.
 
Kaini alipata wapi mwanamke wa kuoa?

Kaini, baada ya kumuua ndugu yake Abeli, alikimbilia katika nchi ya Nodi (Mwanzo 4:16).
Nodi (Kiebrania) maana yake ni kutanga-tanga. Hivyo, Kaini alikwenda nchi isiyojulikana.

Je, huko alipatia wapi mke na kuzaa naye watoto?

Ukisoma kitabu cha Mwanzo 5:1-5, utaona:
“1Hiki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu. Siku ile Mungu alipoumba mtu, kwa sura ya Mungu alimfanya;
2 mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.
3 Adamu akaishi miaka mia na thelathini, akazaa mwana kwa sura yake, kwa mfano wake, akamwita jina lake Sethi.
4 Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, AKAZAA WANA, WAUME NA WAKE
5 Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia kenda na thelathini, naye akafa.”

Kwenye mstari huo wa 4, utaona kuwa kumbe mbali ya Kaini na Abeli kuzaliwa na Adamu, kulikuwa na wana wengine wa kike na wa kiume waliokuja kuzaliwa kwenye familia yao. Ndiyo huko huko, Kaini alipojitwalia mke, yaani kutoka ndani ya familia hiyo hiyo ya Adamu.

Swali linakuja kuwa, kama KAINI alitwaa mke ambaye alizaliwa na Adamu na Hawa, ambao ni wazazi wake, hiyo ina maana kuwa alimuoa dada yake. Je, ni halali kumuoa mwanamke ambaye ni dada yangu wa damu?

Kumbuka kuwa hata Adamu mwenyewe hakwenda kumtwaa mke kutoka kwenye familia nyingine, bali kutoka katika ubavu wake mwenyewe. Hivyo, kama ni undugu, basi Adamu na Hawa wana undugu mkubwa zaidi ya dada na kaka.

Kumbuka pia kuwa hata Ibrahim alioa dada yake wa baba mmoja, yaani mtoto wa mama mwingine kwa baba yake (Mwanzo 20:12). Kwa wakati huo, Mungu aliruhusu iwe hivyo mwanzoni, kwa ajili ya uzazi, ili watu waongezeke.

Lakini baadaye Mungu alitoa maagizo kuwa ni makosa mtu kutwaa ndugu wake wa karibu na kumfanya kuwa mke wake.

Hebu thibitisha hilo kupitia kitabu cha Mambo ya Walawi 18:
6 “Mtu ye yote aliye wa kwenu asimkaribie mwenziwe aliye wa jamaa yake ya karibu ili kumfunua utupu; mimi ndimi Bwana”.
Na pia mstari wa 9 unasema:
9″ Utupu wa umbu lako, binti ya baba yako, au binti ya mama yako, kwamba alizaliwa nyumbani mwenu au kwamba alizaliwa kwengine, utupu wa hao usifunue”.

Kwa hiyo, mbali na Kaini na Abeli kuzaliwa na Adamu, kulikuwa na wana wengine wa kike na wa kiume waliokuja kuzaliwa kwenye familia yao. Ndiyo huko huko Kaini alipojitwalia mke, yaani kutoka ndani ya familia hiyo hiyo ya Adamu. Kwa wakati huo, Mungu aliruhusu hiyo hali, ili watu waongezeke.

Baadaye, Mungu alitoa maagizo kuwa ni makosa mtu kutwaa ndugu wake wa karibu na kumfanya kuwa mke wake.

Hivyo, kwa sasa, ni machukizo kuoa ndugu yako ye yote yule wa karibu.

Mm nina Hoja.
Na naomba tafakar kwa kina.

what if kulikuwa na watu wengne nje zaid ya uzao wa Adam?.
Nina maanisha Baada ya Kaini kumuua Abeli, akafukuzwa Eden, na Seth akazaliwa. Kaini alivyotoka Eden kwenda nchi ya Nodi. Alisema anaogopa atauliwa.

Je alikuwa anaogopa akitoka Nje ya Eden na kwenda nchi ya Nodi ni akina nan watamuua?

Ref na Mwanzo 6. Kuanzia mstar wa kwanza.

Nauweka hapa
Mwanzo 6
1. Binadamu walipozidi kuongezeka duniani na kuzaa wasichana, 2. watoto wa kiume wa Mungu waliwaona hao wasichana wa watu kuwa ni wazuri, wakawachukua wale waliowapenda kuwa wake zao. 3. Hapo Mwenyezi-Mungu akasema, “Roho yangu haitakaa ndani ya binadamu milele, maana yeye ni wa kufa tu. Basi, hataishi zaidi ya miaka 120.” 4. Nyakati hizo na hata baadaye, kulikuwa na majitu duniani ambao walikuwa wazawa wa watoto wa kiume wa Mungu na wasichana wa watu. Hao ndio watu waliokuwa mashujaa na wenye sifa enzi hizo, nao waliitwa Wanefili.
5. Mwenyezi-Mungu alipoona wingi wa uovu wa binadamu duniani, na kwamba kila analokusudia binadamu moyoni mwake ni ovu daima, 6. Mwenyezi-Mungu alisikitika sana kwa kumuumba binadamu duniani. Mwenyezi-Mungu alihuzunika sana moyoni.
mwake, 7. hivyo akasema, “Nitamfuta kabisa duniani binadamu niliyemuumba; nitafutilia mbali pia wanyama wa porini, viumbe vitambaavyo na ndege wa angani. Ninasikitika kwamba niliwaumba duniani.”

mstar wa pili unasema, "watoto wa kiume wa Mungu"

Wao walikuwa wanaishi wap? .

Je hawa watoto wa (Kiume wa Mungu )waliowazaa Wanefili ndio Kaini alikuwa anawaogopa?

Je Eden ndio walikuwepo wakina Adam na uzao wake na kwingineko walikuwepo wana wa Mungu wa kiume?
 
Ukiwauli za walokole hilo swali wanakuambia kuwa kauni alikuwa na dada zake (alioa dada yake).

Ukiwauli za kwa nini hao dada zake hawakuelezwa kwenye bibilia watakuambia kipindi kile wanawake hawakuhesabiwa kama sasa.

Lakini ukiwaambia kwa yule Sara mke wa Ibrahim na Adela wa Samsoni walielezwa? Wanatoka nduki.

Nyambafu!
 
Kaini alipata wapi mwanamke wa kuoa?

Kaini, baada ya kumuua ndugu yake Abeli, alikimbilia katika nchi ya Nodi (Mwanzo 4:16).
Nodi (Kiebrania) maana yake ni kutanga-tanga. Hivyo, Kaini alikwenda nchi isiyojulikana.

Je, huko alipatia wapi mke na kuzaa naye watoto?

Ukisoma kitabu cha Mwanzo 5:1-5, utaona:
“1Hiki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu. Siku ile Mungu alipoumba mtu, kwa sura ya Mungu alimfanya;
2 mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.
3 Adamu akaishi miaka mia na thelathini, akazaa mwana kwa sura yake, kwa mfano wake, akamwita jina lake Sethi.
4 Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, AKAZAA WANA, WAUME NA WAKE
5 Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia kenda na thelathini, naye akafa.”

Kwenye mstari huo wa 4, utaona kuwa kumbe mbali ya Kaini na Abeli kuzaliwa na Adamu, kulikuwa na wana wengine wa kike na wa kiume waliokuja kuzaliwa kwenye familia yao. Ndiyo huko huko, Kaini alipojitwalia mke, yaani kutoka ndani ya familia hiyo hiyo ya Adamu.

Swali linakuja kuwa, kama KAINI alitwaa mke ambaye alizaliwa na Adamu na Hawa, ambao ni wazazi wake, hiyo ina maana kuwa alimuoa dada yake. Je, ni halali kumuoa mwanamke ambaye ni dada yangu wa damu?

Kumbuka kuwa hata Adamu mwenyewe hakwenda kumtwaa mke kutoka kwenye familia nyingine, bali kutoka katika ubavu wake mwenyewe. Hivyo, kama ni undugu, basi Adamu na Hawa wana undugu mkubwa zaidi ya dada na kaka.

Kumbuka pia kuwa hata Ibrahim alioa dada yake wa baba mmoja, yaani mtoto wa mama mwingine kwa baba yake (Mwanzo 20:12). Kwa wakati huo, Mungu aliruhusu iwe hivyo mwanzoni, kwa ajili ya uzazi, ili watu waongezeke.

Lakini baadaye Mungu alitoa maagizo kuwa ni makosa mtu kutwaa ndugu wake wa karibu na kumfanya kuwa mke wake.

Hebu thibitisha hilo kupitia kitabu cha Mambo ya Walawi 18:
6 “Mtu ye yote aliye wa kwenu asimkaribie mwenziwe aliye wa jamaa yake ya karibu ili kumfunua utupu; mimi ndimi Bwana”.
Na pia mstari wa 9 unasema:
9″ Utupu wa umbu lako, binti ya baba yako, au binti ya mama yako, kwamba alizaliwa nyumbani mwenu au kwamba alizaliwa kwengine, utupu wa hao usifunue”.

Kwa hiyo, mbali na Kaini na Abeli kuzaliwa na Adamu, kulikuwa na wana wengine wa kike na wa kiume waliokuja kuzaliwa kwenye familia yao. Ndiyo huko huko Kaini alipojitwalia mke, yaani kutoka ndani ya familia hiyo hiyo ya Adamu. Kwa wakati huo, Mungu aliruhusu hiyo hali, ili watu waongezeke.

Baadaye, Mungu alitoa maagizo kuwa ni makosa mtu kutwaa ndugu wake wa karibu na kumfanya kuwa mke wake.

Hivyo, kwa sasa, ni machukizo kuoa ndugu yako ye yote yule wa karibu.
Kaini alimpata wapi mke?

Kulingana na simulizi la kibiblia, Kaini alimpata mke wake kutoka kwa familia yake mwenyewe. Kwa kuwa Adamu na Hawa walikuwa wanadamu wa kwanza, mke wa Kaini alikuwa dada yake, mpwa wake, au jamaa wa karibu. Maandishi ya Mwanzo 5:4 yanabainisha kuwa Adamu na Hawa walikuwa na "wana na binti wengine" wakati wa maisha yao marefu.

Maelezo maalum kutoka kwa maandishi na mila za kidini za kale yanaongeza muktadha zaidi kwenye simulizi hili:

Awan: Katika maandishi ya awali ya apokrifa kama vile Kitabu cha Yubilei, mke na dada wa Kaini anaitwa Awan (au wakati mwingine Luluwa katika mila zingine).

Nchi ya Nodi: Kulingana na Mwanzo 4:16-17, baada ya Kaini kufukuzwa kwa mauaji ya ndugu yake Abeli, alisafiri mashariki mwa Edeni hadi Nchi ya Nodi, ambapo alimchukua mke wake na kuanzisha familia yake.

Ndoa ya ndugu katika vizazi vya mwanzo kabisa inaelezewa na dhana kwamba, mwanzoni, uzazi wa karibu ulikuwa muhimu ili kujaza dunia. Wasomi halisi pia wanasema kwamba, kulingana na simulizi la Mwanzo, kasoro za kijenetiki hazingekuwa hatari mwanzoni, kwani wanadamu wa kwanza waliumbwa na DNA kamilifu kabla ya mabadiliko ya mabadiliko kutokea.

(kwa msaada wa google)
 
Nchi ya Nodi: Kulingana na Mwanzo 4:16-17, baada ya Kaini kufukuzwa kwa mauaji ya ndugu yake Abeli, alisafiri mashariki mwa Edeni hadi Nchi ya Nodi, ambapo alimchukua mke wake na kuanzisha familia yake.

Kaini alivyokuwa anatoka Eden. Alisema anaogopa kuuliwa.
je alikuwa anaogopa kuuliwa na kina nani?
 
Kaini alivyokuwa anatoka Eden. Alisema anaogopa kuuliwa.
je alikuwa anaogopa kuuliwa na kina nani?
na akina Sethi na watoto wake. na watoto wa dada zake (walikuwa weeengi tu) ni vile tu hawakutajwa. Biblia hutaja wale tu ambao hubeba ujumbe mahususi kwetu sisi.

yaliyofunuliwa ni ya kwetu, yasiyofunuliwa ni ya Bwana. KUMB 29:29

“Mambo ya siri ni ya Bwana, Mungu wetu; lakini mambo yaliyofunuliwa ni yetu sisi na watoto wetu milele, ili tuyafanye maneno yote ya sheria hii.

— Kumbukumbu la Torati 29:29 (Biblia Takatifu)
 
na akina Sethi na watoto wake. na watoto wa dada zake (walikuwa weeengi tu) ni vile tu hawakutajwa. Biblia hutaja wale tu ambao hubeba ujumbe mahususi kwetu sisi.

yaliyofunuliwa ni ya kwetu, yasiyofunuliwa ni ya Bwana. KUMB 29:29
Kaini ni wa kwanza kuzaliwa. Na Seth alizaliwa baada ya kuuliwa kwa Abel.
Seth ni mtoto wa tatu.

Ina maana hapa baada tu ya kuuliwa Abeli. Hakukuwa na mtoto mwingne wa Adam zaid ya Kaini.

Sasa why Kaini aogope Kuuliwa akitoka nje ya Eden?

Mwanzo 4 :15
15Lakini Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Sivyo! Atakayekuua wewe Kaini atalipizwa mara saba.” Basi, Mwenyezi-Mungu akamtia Kaini alama ya tahadhari, ili yeyote atakayemwona asimuue. 16Kisha Kaini akaondoka mbele ya Mwenyezi-Mungu, akawa anaishi katika nchi ya Nodi, upande wa mashariki wa Edeni.

kwahiyo Soon alivyomuua Abeli. Kain alienda Nodi.

sasa alikuwa anaogopa huko Nodi kuwa atauliwa na nani?
 
mambo ya pale bustanini yalichukua miaka mingi sana. sio soon kama unavyosema
Okay sawa.

Unataka kuniambia baada ya Abel kuuliwa . Ilichukua Miaka Ming mpaka Kain alivyofukuzwa na kwenda Nodi?.

Haya.

Sasa nenda Mwanzo 6. Kuanzia Mstar 1.
Hao watoto wa Kiume wa Mungu ni wakina nani?. Ambao walizaa na Wanawake wa Kibinadamu?.

hao wana wa Mungu wa Kiume, walikuwa wanaishi duniani?
 
Kaini alipata wapi mwanamke wa kuoa?

Kaini, baada ya kumuua ndugu yake Abeli, alikimbilia katika nchi ya Nodi (Mwanzo 4:16).
Nodi (Kiebrania) maana yake ni kutanga-tanga. Hivyo, Kaini alikwenda nchi isiyojulikana.

Je, huko alipatia wapi mke na kuzaa naye watoto?

Ukisoma kitabu cha Mwanzo 5:1-5, utaona:
“1Hiki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu. Siku ile Mungu alipoumba mtu, kwa sura ya Mungu alimfanya;
2 mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.
3 Adamu akaishi miaka mia na thelathini, akazaa mwana kwa sura yake, kwa mfano wake, akamwita jina lake Sethi.
4 Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, AKAZAA WANA, WAUME NA WAKE
5 Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia kenda na thelathini, naye akafa.”

Kwenye mstari huo wa 4, utaona kuwa kumbe mbali ya Kaini na Abeli kuzaliwa na Adamu, kulikuwa na wana wengine wa kike na wa kiume waliokuja kuzaliwa kwenye familia yao. Ndiyo huko huko, Kaini alipojitwalia mke, yaani kutoka ndani ya familia hiyo hiyo ya Adamu.

Swali linakuja kuwa, kama KAINI alitwaa mke ambaye alizaliwa na Adamu na Hawa, ambao ni wazazi wake, hiyo ina maana kuwa alimuoa dada yake. Je, ni halali kumuoa mwanamke ambaye ni dada yangu wa damu?

Kumbuka kuwa hata Adamu mwenyewe hakwenda kumtwaa mke kutoka kwenye familia nyingine, bali kutoka katika ubavu wake mwenyewe. Hivyo, kama ni undugu, basi Adamu na Hawa wana undugu mkubwa zaidi ya dada na kaka.

Kumbuka pia kuwa hata Ibrahim alioa dada yake wa baba mmoja, yaani mtoto wa mama mwingine kwa baba yake (Mwanzo 20:12). Kwa wakati huo, Mungu aliruhusu iwe hivyo mwanzoni, kwa ajili ya uzazi, ili watu waongezeke.

Lakini baadaye Mungu alitoa maagizo kuwa ni makosa mtu kutwaa ndugu wake wa karibu na kumfanya kuwa mke wake.

Hebu thibitisha hilo kupitia kitabu cha Mambo ya Walawi 18:
6 “Mtu ye yote aliye wa kwenu asimkaribie mwenziwe aliye wa jamaa yake ya karibu ili kumfunua utupu; mimi ndimi Bwana”.
Na pia mstari wa 9 unasema:
9″ Utupu wa umbu lako, binti ya baba yako, au binti ya mama yako, kwamba alizaliwa nyumbani mwenu au kwamba alizaliwa kwengine, utupu wa hao usifunue”.

Kwa hiyo, mbali na Kaini na Abeli kuzaliwa na Adamu, kulikuwa na wana wengine wa kike na wa kiume waliokuja kuzaliwa kwenye familia yao. Ndiyo huko huko Kaini alipojitwalia mke, yaani kutoka ndani ya familia hiyo hiyo ya Adamu. Kwa wakati huo, Mungu aliruhusu hiyo hali, ili watu waongezeke.

Baadaye, Mungu alitoa maagizo kuwa ni makosa mtu kutwaa ndugu wake wa karibu na kumfanya kuwa mke wake.

Hivyo, kwa sasa, ni machukizo kuoa ndugu yako ye yote yule wa karibu.
Sio kila kitu kiliandikwa. Hakuna ambapo imeandikwa kuwa Kaini hakuwa na mke na watoto kabla hajaenda Nodi. Pia hakuna ilipoandikwa kuwa baada ya kwenda Nodi aliendelea kubaki mpweke hadi kifo.

Kwa hiyo kwa kuwa haikuandikwa, basi ujue na ufuate tu kiliichoandikwa. kwamba alikuwa na mke na watoto
 
Kaini alipata wapi mwanamke wa kuoa?

Kaini, baada ya kumuua ndugu yake Abeli, alikimbilia katika nchi ya Nodi (Mwanzo 4:16).
Nodi (Kiebrania) maana yake ni kutanga-tanga. Hivyo, Kaini alikwenda nchi isiyojulikana.

Je, huko alipatia wapi mke na kuzaa naye watoto?

Ukisoma kitabu cha Mwanzo 5:1-5, utaona:
“1Hiki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu. Siku ile Mungu alipoumba mtu, kwa sura ya Mungu alimfanya;
2 mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.
3 Adamu akaishi miaka mia na thelathini, akazaa mwana kwa sura yake, kwa mfano wake, akamwita jina lake Sethi.
4 Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, AKAZAA WANA, WAUME NA WAKE
5 Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia kenda na thelathini, naye akafa.”

Kwenye mstari huo wa 4, utaona kuwa kumbe mbali ya Kaini na Abeli kuzaliwa na Adamu, kulikuwa na wana wengine wa kike na wa kiume waliokuja kuzaliwa kwenye familia yao. Ndiyo huko huko, Kaini alipojitwalia mke, yaani kutoka ndani ya familia hiyo hiyo ya Adamu.

Swali linakuja kuwa, kama KAINI alitwaa mke ambaye alizaliwa na Adamu na Hawa, ambao ni wazazi wake, hiyo ina maana kuwa alimuoa dada yake. Je, ni halali kumuoa mwanamke ambaye ni dada yangu wa damu?

Kumbuka kuwa hata Adamu mwenyewe hakwenda kumtwaa mke kutoka kwenye familia nyingine, bali kutoka katika ubavu wake mwenyewe. Hivyo, kama ni undugu, basi Adamu na Hawa wana undugu mkubwa zaidi ya dada na kaka.

Kumbuka pia kuwa hata Ibrahim alioa dada yake wa baba mmoja, yaani mtoto wa mama mwingine kwa baba yake (Mwanzo 20:12). Kwa wakati huo, Mungu aliruhusu iwe hivyo mwanzoni, kwa ajili ya uzazi, ili watu waongezeke.

Lakini baadaye Mungu alitoa maagizo kuwa ni makosa mtu kutwaa ndugu wake wa karibu na kumfanya kuwa mke wake.

Hebu thibitisha hilo kupitia kitabu cha Mambo ya Walawi 18:
6 “Mtu ye yote aliye wa kwenu asimkaribie mwenziwe aliye wa jamaa yake ya karibu ili kumfunua utupu; mimi ndimi Bwana”.
Na pia mstari wa 9 unasema:
9″ Utupu wa umbu lako, binti ya baba yako, au binti ya mama yako, kwamba alizaliwa nyumbani mwenu au kwamba alizaliwa kwengine, utupu wa hao usifunue”.

Kwa hiyo, mbali na Kaini na Abeli kuzaliwa na Adamu, kulikuwa na wana wengine wa kike na wa kiume waliokuja kuzaliwa kwenye familia yao. Ndiyo huko huko Kaini alipojitwalia mke, yaani kutoka ndani ya familia hiyo hiyo ya Adamu. Kwa wakati huo, Mungu aliruhusu hiyo hali, ili watu waongezeke.

Baadaye, Mungu alitoa maagizo kuwa ni makosa mtu kutwaa ndugu wake wa karibu na kumfanya kuwa mke wake.

Hivyo, kwa sasa, ni machukizo kuoa ndugu yako ye yote yule wa karibu.
Aliitwa AWAN pacha wake Kaini na ndio chanzo kingine cha mauaji kati yake KAINI dhidi ya ABEL kwani Kaini aliona wivu kwanini ABEL amuoe AWAN huku Abel alikuwa na pacha wake?

Baada ya KAINI kumuua abel, alimchukua AWAN na kwenda kuishi naye nje kidogo ya EDEN kwenye hilo eneo.
 
Ukiwauli za walokole hilo swali wanakuambia kuwa kauni alikuwa na dada zake (alioa dada yake).

Ukiwauli za kwa nini hao dada zake hawakuelezwa kwenye bibilia watakuambia kipindi kile wanawake hawakuhesabiwa kama sasa.

Lakini ukiwaambia kwa yule Sara mke wa Ibrahim na Adela wa Samsoni walielezwa? Wanatoka nduki.

Nyambafu!
sara na adela wa samson walielezwa sababu ya ushawishi wao mkubwa kwa watu wa M-ngu kifupi walikuwa na madhara kwa watu wa M-ngu
 
Okay sawa.

Unataka kuniambia baada ya Abel kuuliwa . Ilichukua Miaka Ming mpaka Kain alivyofukuzwa na kwenda Nodi?.

Haya.

Sasa nenda Mwanzo 6. Kuanzia Mstar 1.
Hao watoto wa Kiume wa Mungu ni wakina nani?. Ambao walizaa na Wanawake wa Kibinadamu?.

hao wana wa Mungu wa Kiume, walikuwa wanaishi duniani?
mbona kama vile naanza kuwaza ujinga???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom