Kaini alipata wapi mke wake?

Swali hilo linafanana na hili na majibu ya nililosoma mahali fulani

Source:Where did Cain get the people from to build his city which he named after his son? - Quora


Where did Cain get the people from to build his city which he named after his son?
Welcome to one of the three biggest plot holes in the book of Genesis.
The canonical story has no answer to this, so countless religions have retconned this in Bible fanfic since about the time literacy caught on.
I haven’t seen any retcons that I find terribly persuasive. Middle Ages theologians said Nod wasn’t a literal city, it was endless desert populated by monsters. Origen of Alexandria took the “hell is separation from God” approach and wrote that the city of Nod wasn’t a physical city at all, it was a metaphor for being cut off from God’s Grace.

Roman Catholics believe the word “Nod” comes from “nud” (“to wander”), and so the City of Nod was a metaphor for being cast out and forced to wander—it was a state of being, in other words, rather than a physical place.

Evangelical Protestants say that since Cain was exiled and traveled to the land of Nod with his wife, but the only people who existed to that point lived in the Garden of Eden, Cain must have married and then been exiled with his sister. The city was then built by Cain himself (though how you call a place with three inhabitants—Cain, his nameless sister/wife, and his son Enoch—a “city” is left unanswered.

Progressive Protestant denominations believe the story of Adam and Eve doesn’t describe the creation of all humans, but just a specific lineage of humans, namely the lineage that gave rise to the ancient Israelites. Other lineages of people already existed. Cain met his wife after leaving the Garden and intermarried into a separate lineage; with them, he built the city of Enoch.

Some Anglicans believe the city was built not by Cain, but by his descendants, specifically on the Euphrates in present-day Iraq. The issue of where Cain’s wife came from is left unaddressed.
 
Na inaaminika kwamba baada ya hawa na adam kula tunda walitolewa kwenye bustani ya eden ndo wakashushwa kuja kuishi duniani.
Kama bustani ya eden ipo duniani walipokula tunda walishushwa kwenda KUISHI WAPI WAKATI WAPO DUNIANI HAPA HAPA?
Mkuu mbona hawa aliumbiwa hapahapa duniani

Soma mwanzo
 
Yote haya ni ubinafsi wa wayahudi!tena uchoyo! Wliaandika kitabu kutuzuia tusioe wake wengi, mbona wakina Daudi,Solomon,Jacob nawengine wengi wakua na wanawake wengi tu? Kwan Mungu hakuwapenda sana hao ?
 
Ikiwa kulikuwa na familia moja tu, Kaini alipata wapi mke wake?


Mwa. 3:20: “Adamu akamwita mke wake jina lake Hawa, kwa sababu ndiye angekuja kuwa mama ya kila mtu anayeishi.” (Kwa hiyo, wanadamu wote wangekuwa wazao wa Adamu na Hawa.)

Mwa. 5:3, 4: “Adamu akaishi miaka 130. Ndipo akazaa mwana kwa mfano wake, kwa sura yake. Akamwita jina lake Sethi. Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zikawa miaka 800. Wakati uleule akazaa wana na mabinti.” (Mmoja wa wana wa Adamu alikuwa Kaini, na bila shaka mmoja wa binti za Adamu alikuja kuwa mke wa Kaini. Wakati huo, wanadamu walipokuwa wangali wana afya bora na nguvu kimwili, kama inavyoonyeshwa na urefu wa maisha yao, hapakuwa na uwezekano mkubwa wa kuwapitishia wazao wao kasoro kwa sababu ya kuoa mtu wa ukoo.

Hata hivyo, baada ya miaka 2,500 hivi ya historia ya wanadamu, wakati hali ya kimwili ya wanadamu ilipokuwa imezorota sana, Yehova aliwapa Waisraeli sheria zilizokataza ngono kati ya watu wa familia moja.)

Mwa. 4:16, 17: “Kaini akaenda zake kutoka usoni pa Yehova na kukaa katika nchi ya Ukimbizi [au, Nodi] upande wa mashariki wa Edeni. Baadaye Kaini akalala na mke wake [“akamjua mkewe,”] naye akapata mimba, akamzaa Enoko.” (Ona kwamba Kaini hakukutana na mke wake katika nchi aliyokimbilia, kana kwamba mke huyo alitoka katika familia nyingine. Badala yake, huko ndiko alipolala na mke wake ili amzalie mwana
 
hiki kitabu kingewekwa kwenye biblia kingeongeza chuki zidi ya wanawake
 
Hao watoto 63 wote walizaliwa na Eva?
 
Ww una point
 
Kimapokeo, Wayahudi wakati wa Adamu na Hawa hawakuwah3sabu watu wengine wasio Wayahudi kama watu.

Hivyo, kulikuwa na watu wanaishi kabla ya Adam na Hawa na hawa watu waliishi pembeni ya famikia hii.

Hivyo, si ajabu kwambq Kaini alienda huko na kupata mke.

Habari ya kwamba Adam na Hawa ni hekaya ya mwanzo wa Wayahudi tu. Si fact.

Kuna watu waliiishi Africa maelfu na maelfu ya miaka kabla ya wakati unaosemwa Adam na Hawa waliishi. Hili limethibitishwa.
 
Ukisoma Mwanzo 1:26 Mungu akasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu;... ukiendelea hadi aya ya 29 utaona Mungu aliumba mtu kwa mfano wake siku ya sita na akamuambia akazaliane (ambaye sio Adam) Na ukizingatia zaidi aliumba mwanaume na mwanamke.
Baada ya hapo ukisoma kuanzia Mwanzo 2: 7 ndipo kuna habari ya kuumbwa kwa Adam na kumpa nafsi hai na akamweka bustanini(Eden) na mambo kadhaa mbele ambayo ukisoma zaidi utaona zaidi.
Kwa hiyo kutokana na Biblia utakuta kuna uumbaji wa nyakati mbili tofauti. Na kwakuwa wale wa kwanza waliambiwa wakazaliane nadhani Kaini alipata mke huko
 
Kwann wanawake hawakua wakihesabiwa?
 
Kaini alipata Mke kutoka kwenye viumbe waliokuwepo waliitwa Wanefli , walikuwa na maumbo makubwaila walifanana nawanadam,Kabla ya uumbaji wabinadamu walikuwepo viumbe wengine,
 
Kabla ya uumbaji was mwanadamu walikwepo viumbe wengine waliitwa wanefli, walikuwa watu wenye nguvu sana, Hivyo kaini alijipatia Mke kutoka kwa viumbe hao,soma kitabu cha Mwanz 6:1 na kuendelea utaelewa kuwa kulikuwa na viumbe wengine,
 
Huyu bro alinoboa tuu pale alipo muua nduguye baada ya kupekelewa kwa sadaka yake.Huwa simpendagi huyu,ndiyo chanzo cha maovu ya mauaji labda
 
Weka uthibitisho mkuu
 
Kaini alipata Mke kutoka kwenye viumbe waliokuwepo waliitwa Wanefli , walikuwa na maumbo makubwaila walifanana nawanadam,Kabla ya uumbaji wabinadamu walikuwepo viumbe wengine,
Mkuu kitabu gani hicho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…