Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Kubenea ni FBI??Kubenea kashindwa kuwajua waliomwagia tindikali, hatajua kama Msemakweli anatatumiwa
Kubenea ni FBI??Kubenea kashindwa kuwajua waliomwagia tindikali, hatajua kama Msemakweli anatatumiwa
Kainerugaba alitoa ushahidi wa KAGODA iliyokuwa inahusishwa kusaidia CCM uchaguzi 2005 . Sasa kama kubenea anao ushahidi wa pesa ya Kagoda kutumika kwenye uchaguzi 2005 basi autoe huo ushahidi hadharani na vilevile ushahidi wa jinsi kainerugaba anavyotumiwa.ngoja tuendelee kusubiri data! lakini ushahidi wa msemakweli haujaonyesha popote kuwa fedha za kagoda zilitumiwa na CCM, pesa za EPA zimechotwa kwa staili nyingi, inawezekana hizo zilizosaidia CCM ndo hazikupitia kagoda.
kubenea ni FBI??
Kubenea kashindwa kuwajua waliomwagia tindikali, hatajua kama Msemakweli anatatumiwa
Naungana na Saed Kubenea kwamba Kainerugaba anatumiwa na kundi fulani ndani ya CCM katika kukisafisha chama, ukweli usionakificho ni kwamba Kainerugaba amesema KWELI kama alivyotumwa KUSEMA na wale waliomtuma. Hii haimaanishi kwamba Mkapa hakuhusika la hasha, Mkapa ni mtuhumiwa namba 1 wa Kagoda, Kikwete lazima atakuwa ni mtuhumiwa namba 2 wengine wanafuata.Katika makala yake kwenye gazeti la mwanahalisi la septemba 7,2011, Kubenea anasema msema kweli anatumiwa pale anaposema CCM hawakuiba fedha za EPA kwa ajili ya uchaguzi wa 2005 wakati ushahidi upo wazi kuwa fedha zilichotwa kuanzia septemba 2005 kwa maelekezo maalum ya rais mkapa.
Anasema wanaomtumia Msemakweli ni wapambanaji hewa wa ufisadi..
kama yeye anao ushahidi si angeutoa hadharani kama alivyofanya Msemakweli?kubenea yeye amejua aje msemakweli anatumiwa ikiwa yeye naye hatumiwi?
ni kweli alishindwa kumjua aliyemwagia tindikali, lakini aliwajua waliomtuma aliyemwagia tindika.Kubenea kashindwa kuwajua waliomwagia tindikali, hatajua kama Msemakweli anatatumiwa
mapaparazi mbona hawapendani jamani? Ngoja tuone paparazi mwingine Ngongo ata biase kwa naniKatika makala yake kwenye gazeti la mwanahalisi la septemba 7,2011, Kubenea anasema msema kweli anatumiwa pale anaposema CCM hawakuiba fedha za EPA kwa ajili ya uchaguzi wa 2005 wakati ushahidi upo wazi kuwa fedha zilichotwa kuanzia septemba 2005 kwa maelekezo maalum ya rais mkapa.
Anasema wanaomtumia Msemakweli ni wapambanaji hewa wa ufisadi..