GE2025 Kailima: Kutumia Mabango ya Kampeni lazima upate idhini kutoka Tume au Wasimamizi wa Uchaguzi

GE2025 Kailima: Kutumia Mabango ya Kampeni lazima upate idhini kutoka Tume au Wasimamizi wa Uchaguzi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (iNEC), Ramadhani Kailima amesema,

"Endapo vyama vya siasa au mgombea yeyote atahitaji kutumia machapisho kama vile mabango au vipeperushi vyenye matangazo ya kampeni, vitapaswa kuomba idhini kwenye Mamlaka husika (1) Kwa uchaguzi wa kiti cha Rais kibali kitaombwa tume na (2) kwa uchaguzi wa Mbunge au Udiwani kibali kitaombwa kwa msimamizi wa uchaguzi"
 
..Na mabango ambayo Mama ameishasambaza nchi nzima itakuwaje?
 
..Na mabango ambayo Mama ameishasambaza nchi nzima itakuwaje?
Hiyo sheria haiwahusu ccm. Ilitungwa rasmi kwa ajili ya cdm, kwa sasa itabidi waangalie waitumieje.
 
Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (iNEC), Ramadhani Kailima amesema,

"Endapo vyama vya siasa au mgombea yeyote atahitaji kutumia machapisho kama vile mabango au vipeperushi vyenye matangazo ya kampeni, vitapaswa kuomba idhini kwenye Mamlaka husika (1) Kwa uchaguzi wa kiti cha Rais kibali kitaombwa tume na (2) kwa uchaguzi wa Mbunge au Udiwani kibali kitaombwa kwa msimamizi wa uchaguzi"
Hiyo sheria haiwahusu ccm

Ova
 
Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (iNEC), Ramadhani Kailima amesema,

"Endapo vyama vya siasa au mgombea yeyote atahitaji kutumia machapisho kama vile mabango au vipeperushi vyenye matangazo ya kampeni, vitapaswa kuomba idhini kwenye Mamlaka husika (1) Kwa uchaguzi wa kiti cha Rais kibali kitaombwa tume na (2) kwa uchaguzi wa Mbunge au Udiwani kibali kitaombwa kwa msimamizi wa uchaguzi"
Ndiyo waanze na mabango ya mtu anayejiuza kama CD nchi nzima barabarani! Vibali vilitoka wapi! Bandikeni hapa
 
Yale mabango ya Bi Kizimkazi nchi nzima aliyaombea kibali lini?
 
Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (iNEC), Ramadhani Kailima amesema,

"Endapo vyama vya siasa au mgombea yeyote atahitaji kutumia machapisho kama vile mabango au vipeperushi vyenye matangazo ya kampeni, vitapaswa kuomba idhini kwenye Mamlaka husika (1) Kwa uchaguzi wa kiti cha Rais kibali kitaombwa tume na (2) kwa uchaguzi wa Mbunge au Udiwani kibali kitaombwa kwa msimamizi wa uchaguzi"
Mimi ni mwanaCCM ila ninakiri hii ni SHERIA YA KIPUMBAVU SANA. Sasa nini maana ya kampeni kama hadi vipeperushi na mabango hadi kibali?
 
Hivi nyie ccm mnasumbuka nini simjipitishe wenyewe kuliko kuleta vikwazo.

Wananchi watakaopiga kura hawana akili hapo ccm hakuna haja ya kufanya uchaguzi wajipitishe ifahamike kuwa nchi niya ccm tupu.
 
Je
Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (iNEC), Ramadhani Kailima amesema,

"Endapo vyama vya siasa au mgombea yeyote atahitaji kutumia machapisho kama vile mabango au vipeperushi vyenye matangazo ya kampeni, vitapaswa kuomba idhini kwenye Mamlaka husika (1) Kwa uchaguzi wa kiti cha Rais kibali kitaombwa tume na (2) kwa uchaguzi wa Mbunge au Udiwani kibali kitaombwa kwa msimamizi wa uchaguzi"
Je kutumia plate number?
 
Duuuh pasi na shaka zile baskeli na pikipiki kibali kitaonyeshwa hadharani muda si mrefu
Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (iNEC), Ramadhani Kailima amesema,

"Endapo vyama vya siasa au mgombea yeyote atahitaji kutumia machapisho kama vile mabango au vipeperushi vyenye matangazo ya kampeni, vitapaswa kuomba idhini kwenye Mamlaka husika (1) Kwa uchaguzi wa kiti cha Rais kibali kitaombwa tume na (2) kwa uchaguzi wa Mbunge au Udiwani kibali kitaombwa kwa msimamizi wa uchaguzi"
 
Na ya mama samia je? Kailima huwa namuona hamnazo
Tatizo njaa mkuu, zile baiskel na pikipiki hazijaombewa vibali na tena zimesambazwa kote nchini kabla ya muda wa kampeni...zile ni rushwa live bila chenga!
 
Kushiriki uchaguzi hapa TANZANIA ni kupoteza muda Tu.
Kama wanajeshi nao wameingia kwenye siasa kuna haja gani ya kupiga kura?
20250802_110858.jpg
 
Ushenzi mtupu.

Huyo mama yao tunaambiwa ana mabango nchi nzima.

Amegawa mikweche ya pikipiki na baiskeli nchi nzima walikuwa wapi?

Huo unaoitwa uchaguzi watashiriki CCM na vibaka wenzao.
 
Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (iNEC), Ramadhani Kailima amesema,

"Endapo vyama vya siasa au mgombea yeyote atahitaji kutumia machapisho kama vile mabango au vipeperushi vyenye matangazo ya kampeni, vitapaswa kuomba idhini kwenye Mamlaka husika (1) Kwa uchaguzi wa kiti cha Rais kibali kitaombwa tume na (2) kwa uchaguzi wa Mbunge au Udiwani kibali kitaombwa kwa msimamizi wa uchaguzi"
Mchakato ukiwa huru hata bila kampeni kuna mgombea lazima aangukie pua. Mabango hayapigi kura, kama unakubaloka utapata kura hata bila kampeni.
 
Back
Top Bottom