ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,246
- Thread starter
-
- #17,581
Dar-Mbeya-Tunduma-Lusaka-Harare-Jozbg.Hii daladala inasafari za kwenda maeneo gani ya huko mbeya?
Na Bado utaona maluwe luwe Sana kadiri Mbeya City inavyokutimulieni vumbi.Naona condom iliyopasuka.
Endeleen kutupostia mabasi...bukoba ishatoka huko....
Bukoba ni maskini usiwe unaongea mbele ya Wanaume unajidhalilisha.Endeleen kutupostia mabasi...bukoba ishatoka huko....
Ili ni shirika jipya la ndege Tanzania..
Bukoba ni moja ya miji ya kwanza kuanzisha safari zake...Tazama nauli sasa...na itakuwa inajaa...nyinyi baki na takwimu zenu eti kagera hawapati hata 3000 kwa sikuππ...
Bukoba kuna mashirika manne ya ndege yenye safari kila siku
1. Air Tanzania hii ni mara mbili kwa siku
2. Precision Air..kila siku
3. Fastlink kila siku
4. AUric kila siku...
usije na hoja kuwa ni mbali...Musoma, kigoma, mbeya, Tabora , kahama, katavi, sumbawanga hata airport hawana, njombe hata airport hawana nk lakin hata mashirika madogo hayaendi huko...
SHIDA NI VIPAT VIDOGO
Hicho kiberit kinawafaa nyie mnasafirisha magunia ya viazi.Dar-Mbeya-Tunduma-Lusaka-Harare-Jozbg.
Chuma la maana kama Hilo Benz Wasukuma mtaishia kuona kwenye video kama hivi,humo hupandi na mbuzi,hiyo sio Mohamed Trans ππ
Ni kweli mbeya inatimua mavumbi tu hamna cha maanaNa Bado utaona maluwe luwe Sana kadiri Mbeya City inavyokutimulieni vumbi.
View: https://youtu.be/cnWSeHJ7bB0?si=pcRXbz-bUGs1uFFW
π¨π¨π¨ππNi kweli mbeya inatimua mavumbi tu hamna cha maana
Subiri sasa uje kuona huo uwanja mkubwa hata uwanja wa kucheza ndondo utakuwa na afadhali hii nchi unaijua unaisikiaπππ
Hebu leta makanpuni ya ndege yanayoelekea huko Kusini...Toa Air Tanzania na Precision ambazo nazo hazijaiππBukoba ni maskini usiwe unaongea mbele ya Wanaume unajidhalilisha.
View: https://twitter.com/djnsajigwa/status/1719611240887030145?t=Wu8m82aV6JXTZraK1wOy5A&s=19
Njombe ni Mkoa wa wapambanaji usilinganishe na Magulio kama Kahama.Subiri sasa uje kuona huo uwanja mkubwa hata uwanja wa kucheza ndondo utakuwa na afadhali hii nchi unaijua unaisikiaπππ
Kampuni zote Zinaenda ,ATCL Kwa Sasa Ina daily flights na Baadhi ya siku inaenda twice a dayHebu leta makanpuni ya ndege yanayoelekea huko Kusini...Toa Air Tanzania na Precision ambazo nazo hazijaiππ
Nauli ya mtu ni mmoja ni nauli ya watu 15 wa bus moja hapo
Ni aibu sana kwa Nyanda za juu kusini yote kuzidiwa na small municipality kama bukoba kwa abiria wa ndege...Kampuni zote Zinaenda ,ATCL Kwa Sasa Ina daily flights na Baadhi ya siku inaenda twice a day
Ile mall yq bukoba...Bakwata complex..Huna cha kunikomesha wewe kasuku maneno mengi kwenye ground naona mavumbi tu.
Kwa kweli Hatuwezi kupinga Hilo mnatuzidi sana sana ππππNi aibu sana kwa Nyanda za juu kusini yote kuzidiwa na small municipality kama bukoba kwa abiria wa ndege...
Ns soon mtazidiwa na mall mpya sasa..
Ile Mall yetu ya Bukoba iko kasi sana..
Next year mwezi wa nane inakamilika...Tazama video pia hapo
View: https://www.instagram.com/reel/CzF9uQMtBF7/?igshid=YWYwM2I1ZDdmOQ==
Nilijua utakimbilia kwenye takwimu za kupikaπKwa kweli Hatuwezi kupinga Hilo mnatuzidi sana sana ππππView attachment 2800053
Ukioikiwa wewe kulaπππNilijua utakimbilia kwenye takwimu za kupikaπ
So kwa makazi haya ya mbeya ndo kila mtu anakipato cha more than 4million? ...
Kama haya ndo maendeleo na kagera ibaki kuwa ya mwisho tu
Compare and contrast...
Picha 1...Mbeya
Picha 2...Bukoba
Leo unifundisha mimi kupostπππ..Ukioikiwa wewe kulaπππ
Jifunze ku post unatuumiza macho
Nimekwambia jifunze ku post picha unakera maana unatuumiza macho.Leo unifundisha mimi kupostπππ..
Anyway sasa hiv Bukoba kunajengwa stendi nzr sana ya daladala hapo mjini Bukoba...kufikia mwakani mwezi wa sita Bukoba ndo mji utakaokuwa na stendi nzr zaidi ya daladala Tz nzima ukitoa tu Mwenge pale Dar...
Stendi kuu pia itajengwa mpya nzr saba
Ujenzi ukiendelea
View: https://youtu.be/7ZTH29imLeg?si=j0aafmfJ_zCd9cla