Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Mk

Sumbawanga size yake ni muleba mkuu...
Bukoba achana nayo....
Ile shopping mall yetu Iko hatua nzr sana
Toa ujinga hapa wewe, Sumbawanga ni Kati ya Miji 12 mikubwa hapa Tanzania na ndio maana Tactic Iko awamu ya kwanza.

Wakati wanachagua walikuwa wanatumia vigezo ikiwemo population,hicho Kijiji chako Cha Muleba kalinganishe na Misungwi.
maxresdefault.jpg
 
Watu wako ndani ya Hifadhi ya Barabara ya 22.5m Kila upande harafu badala ya kuomba kwamba wahurumiwe Kwa kuwa wamekaa hapo miaka na miaka wanaleta ukaidi.

Jiwe angewajibu kashfa na angebomoa Kwa fujo.
Hawana namna wameishavunja nyumba wenyew na walipewa siku kumi tu...
Japo wanalia lia na wengine kutaka kumsabotage mbunge lakin hakuna namna....
Ujenzi uko kasi sana na uzuri constructors ni wa hapo hapo bukoba mjini....so anajua anachokifanya
 
Kwa mjibu wa latra now daladala ni mwisho km 40 from CBD hii imeplekea kufungua na ofisi kwenye wilaya zenye uhitaji wa huduma hii kutokana na ongezeko la vyombo vya moto
1697767909492.jpg
1697767743696.jpg
 
Back
Top Bottom