Hiv hizo tactic zinaanza lini...
Maana nimekuwa disappointed ujenzi wa stendi kuu ya Bukoba kupigwa stop...eti wasubiri mradi wa tactic....
Nadhani kuna watu wananufaika miundombinu ya baadhi ya miji ikibaki mibovu...
Bukoba sasa ni kiangazi...ni muda mzr wa ujenzi wa vitu kama stendi...lakin nchi hii basi tupu...