Kahama VS Njombe/Mafinga

Mbeya Dodoma
Shabiby
Kimbinyiko
Magaula
Machame
Swahili
Ngasere
Mk Classic
 
Hamna hata hiace .... sembuse... Kahama Ina ruti za majiji haya

Tanga .
Mwanza.
Dar es salaam
Arusha.
Dodoma..
Njombe to Majiji and Mikoani
Dar
Arusha
Mwanza
Mbeya
Dodoma

Wapi Kahama-Tanga? Weka hapa Busi tuone
 
Ungekuwa unajua umbali kutoka kahama hadi Bukoba au Kigoma usingeandika huu utumbo
...
Kwa bukoba mizigo yake mingi inatoka Mwamza kwa meli...na hio ndo nia ya serikali...mizigo inakuja hadi mwanza then meli hadi bukoba ndo maana unaona meli ya MV Victoria, nyakibolwa, etc zipo zinatoa huduma...na kuna meli kubwa ya MV Mwanza inaanza soon...
 
Hamna hata hiace .... sembuse... Kahama Ina ruti za majiji haya

Tanga .
Mwanza.
Dar es salaam
Arusha.
Dodoma..
Kamanda route ya Mwanza Tanga kwa sasa ipo, wakati naenda Iringa nilikutana na jamaa mjaluo ambaye ni Ticha kama mpwayungu, alikuwa anaenda Tanga kureport akitokea Nyegezi, Mwanza nikataka kujua anapanda gari gani lakini nikajikuta nasahau, me nikapanda Isamilo.
 
Tumekwambia baadhi ya wilaya za Kagera Na bado kigoma hivohivo acha kupinga ukweli tunafanya biashara haya mambo yanafahamika
 
TAZARA has opened up many areas to business opportunities.
...............................

TAZARA imefungua maeneo mengi kwa fursa za biashara

----------------------------------------------------------
#tazara #tzr #kusini #southern #reli #Tanzania #Zambia #treni #train #travel #safari #mbeya #makambako #newkapirimposh #safari #ordinary #nakonde #tunduma #express #tazarah#DRC #mpika #kasama # #mkushi # #daressalaam#copperbelt
 

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Kilimo
Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula​



  1. Kanda ya Makambako

Kanda ya Makambako​

Ofisi za Kanda ya Makambako zipo katika Mji wa Makambako, Mkoa wa Njombe na inaongozwa na Meneja wa Kanda. Kanda ilianzishwa kimkakati ili kuweza kuhudumia Mikoa ya Njombe, Iringa, Mbeya na Songwe. Katika kuongeza ufanisi, Kanda hii iligawanywa na kutoa kanda mbili ambazo ni Kanda ya Makambako (Njombe na Iringa) na Songwe (Songwe na Mbeya). Kanda ya Makambako ina maghala yenye uwezo wa kuhifadhi tani 22,000 za nafaka.
Kwa sasa, Wakala inatekeleza mradi wa kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kwa kujenga vihenge na maghala ya kisasa ili kuboresha miundo ya uhifadhi katika eneo la Makambako. Kukamilika kwa mradi huu kutawezesha kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kutoka tani 22,000 zilizopo sasa hadi tani 62,000.
Nafaka zinazonunuliwa, kuhifadhiwa na kuzungushwa/kuuzwa kupitia Kanda ya Makambako ni mahindi na mpunga. Kanda hii kijiografia huwa na uwiano mzuri wa uzalishaji wa mpunga na mahindi kutokana na kuwa na uzalishaji mkubwa wa ziada ya nafaka na imekuwa ni sehemu ya kivutio kwa wanunuzi mbalimbali wa nafaka kutokana na kupatikana kwa wingi na urahisi wa usafirishaji kwa njia ya reli na barabara.
Mawasiliano;

Video​

Kurasa za Karibu​

Tovuti Mashuhuri​

Mawasiliano​

©2023 Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula . Haki zote zimehifadhiwa.
Imesanifiwa, Imetengenezwa, na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Inaendeshwa na Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula

Maandishi halisi

Kadiria tafsiri hii
Maoni yako yatatumika kusaidia kuboresha huduma ya Tafsiri ya Google

 
Tumekwambia baadhi ya wilaya za Kagera Na bado kigoma hivohivo acha kupinga ukweli tunafanya biashara haya mambo yanafahamika
Hamna usiongee usichokijua kahama inasupply wilaya gan ya kagera? Bora ungesema KATORO Ndo inasupply mizigo Kwa wilaya ya BIHARAMULO na sio kahama
 
 
Ndani ya Njombe
 

Attachments

  • Screenshot_20230626-135408.png
    256.7 KB · Views: 11
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…