ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,248
- Thread starter
-
- #16,761
Kwamba mtakuwa mnajenga Mwanza si ndio 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hyo barabara ambayo hata EPC plus F imeshindwa kuiona ... inshort tunakuja mbeya kubeba utajiri wa chunya ...na ndio maana usishangae miaka 20 ijayo chunya itakuwa sukumaland ya kusini kama ilivyo leo mpanda ..
Hivi hiyo barabara haijaanza kujengwa tu🙄🙄Endelea kukenua.
Nanenane Kitaifa miaka 3 mfululizo Mbeya
Wizara inaandaa Master plan ya Uwanja wa Nanenane Mbeya Ili uwe na viwango vya Kimataifa.
Mgeni Rasmi mwaka huu ni mh.Rais
Mwisho Rais atakuja kuweka Jiwe la msingi ujenzi wa Barabara njia 4
Unahisi wanajenga kwenye mavumbi isesye 😳🤣Kwamba mtakuwa mnajenga Mwanza si ndio 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lipo, nimesahau jina lakini lipoKahama-Mbeya
Una uhakika Mkuu?Lipo, nimesahau jina lakini lipo
Ndio, nilishawahi kuulizia siku moja lkn nikaghairi safariUna uhakika Mkuu?
Hamna kitu kama hicho ....mimi nipo kahama... matajiri wa kahama hawana muda na mavumbi ya mbeyaNdio, nilishawahi kuulizia siku moja lkn nikaghairi safari
Kwani wewe ni wakala wa Mabasi? Hata Mpanda Kahama Kuna vibasi vi Tata sio gari kubwa inawezekana zikawa gari hizo aina ya tata.Hamna kitu kama hicho ....mimi nipo kahama... matajiri wa kahama hawana muda na mavumbi ya mbeya
Hamna hata hiace .... sembuse... Kahama Ina ruti za majiji hayaKwani wewe ni wakala wa Mabasi? Hata Mpanda Kahama Kuna vibasi vi Tata sio gari kubwa inawezekana zikawa gari hizo aina ya tata.
Leta hapa Kahama Tanga tuoneHamna hata hiace .... sembuse... Kahama Ina ruti za majiji haya
Tanga .
Mwanza.
Dar es salaam
Arusha.
Dodoma..
Okay nmekumbuka, jamaa alisema nikapandie Tinde, nadhan ni kuunga zile zinazotokea mwanza.Hamna kitu kama hicho ....mimi nipo kahama... matajiri wa kahama hawana muda na mavumbi ya mbeya
Sasa Mwanza Mtwara kweli seriously?Kila Mkoa Kuna bus za Mbeya kasoro Musoma,Kigoma, Bukoba na Kahama&Baridi na sijui Kwa nini hakuna Bus la Kahama-Mbeya..
Kigoma,Bariadi na Musoma ni kwa vile Barabara sehemu kubwa ni Vumbi..
Ila.nyie Mwanza Hamtakaa muwe na route ya Tanga wala Mtwara.
KSK anytime anaweza anza Mwanza TangaWasukuma na ustaarabu wapi na wapi? Ndio maana mnashindwa kwenda Tanga na Mtwara..
Mengine ni kujifariji tuu.
Kapricon ipo Mwanza IringaHarafu wewe ni kapuuzi hizo route za Mwanza-Iringa ni Mabasi ya Mwanza -Mbeya hayo..
Subirieni Barabara ya Tabora imalizike ndio mtaanzisha Mwanza-Iringa na vibasi chakavu ila Mwanza Mbeya hata Sasa ni Mabasi mapya safi kabisa si unajua.mbeya Huwa hatupandi vitu chakavu
Sasa Mwanza Mtwara kweli seriously?
[/QUOTE
Kuna Mwanza-Songea why Not Mtwara?
Mbona Dar Kila Mkoa? Mwanza si mnajiita Jiji kubwa Sasa Kwa nini hakuna usafiri wa Mtwara wakati Kuna watu mara 3 ya Mbeya?
Inashangaza sana,I hope next time itakuwepoOkay nmekumbuka, jamaa alisema nikapandie Tinde, nadhan ni kuunga zile zinazotokea mwanza.
Sorry, my bad...
Cc ChoiceVariable
List inaendeleaLeta hapa Kahama Tanga tuone
Hapo ni kutumia vizuri geographical position ya mji ulipo ko bado nyanda za juu kusin Ina mji wa aina HiYo ukiangalia kahama inategemewa ku supply mizigo kwenye wilaya za almost mikoa mitano Yan shinyanga yenyewe, Kagera,geita,tabora na kigoma kitu ambacho ni sawa na mji wa makambako una supply mzigo njombe yenyewe ,iringa ,ruvuma ,morogoro hususa zone ya ifakara,na mbeya especially mbarali ko kuimarika kwa bandar hii miji inakwenda kukua zaidi ikiwa na kuanzishwa kwa bandari kavu pia na miji ya border inaenda kukua zaidi kama tunduma na hii imepelekea kampuni nyingi za kibiashara kufungu branch za ofisi zao kwenye hii miji mfano azania ,dangote cement ,Simba cement, mo product nk hii nikutokana urahisi wa soko Cha msingi ni kuimarisha miundombinu mfano Barabara za katikati ya mji ili kuvutia zaidi wawekezaji na maeneo ya uzalishaji