Hizo train za Hitler za nini huku .......Huko tulishapita kitambo acheni ushamba View attachment 2621690View attachment 2621691View attachment 2621692View attachment 2621693View attachment 2621694View attachment 2621695View attachment 2621696
Kwanza Mwanza hamtakaa muone train za kitalii kama hizo
Za Utalii , haziwezi kuja huko hakuna Cha maanaHizo train za Hitler za nini huku ..........hayo magwangala yaliyochoka yanapita Mara Moja Kwa mwezi Tena yanaenda South Africa huko ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mbeya Kuna nini Cha kutalii...acha ushamba train zinaenda dar huko unamzungumzia mbeya ..Za Utalii , haziwezi kuja huko hakuna Cha maana
Hiv hawa ndo wanajiitaga green cityIla mbeya Kuna nini Cha kutalii...acha ushamba train zinaenda dar huko unamzungumzia mbeya ..
Mtalii Gani aje aone nzi hiziView attachment 2621706
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna viingi vya kuona kama hivi 👇Ila mbeya Kuna nini Cha kutalii...acha ushamba train zinaenda dar huko unamzungumzia mbeya ..
Mtalii Gani aje aone nzi hiziView attachment 2621706
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakuja kuona vingi sana ambavyo huko kusini hamnaKuna viingi vya kuona kama hiviView attachment 2621732View attachment 2621733View attachment 2621734View attachment 2621735View attachment 2621736View attachment 2621737View attachment 2621738
On top of that Safari tuu ya kutoka South Africa Hadi Dar ni Utalii wa kutosha inapitia Miji na hifadhi nyingi..
Sasa huko uswazi train zije kuona nini hasa?
Treni waliyopanda Iko wapi?Wanakuja kuona vingi sana ambavyo huko kusini hamnaView attachment 2621748View attachment 2621750View attachment 2621751View attachment 2621753View attachment 2621754View attachment 2621755View attachment 2621757
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima upige picha hivi moja moja maana...mbeya jengo refu moja au limezungukwa na slums tupo...
Nakupa video sio picha,MbeyaLazima upige picha hivi moja moja maana...mbeya jengo refu moja au limezungukwa na slums tupo...
Nasuburi picha za neighbourhoods za mbeya zinazofika hata nusu ya hapaView attachment 2621812
Yale yale niliosema...ghorofa moja halafu slums kibao and vice versaNakupa video sio picha,Mbeya View attachment 2621846
Yale yale niliosema...ghorofa moja halafu slums kibao and vice versa
Bukoba pazuri mno ukilinganisha na mbeyaLazima upige picha hivi moja moja maana...mbeya jengo refu moja au limezungukwa na slums tupo...
Nasuburi picha za neighbourhoods za mbeya zinazofika hata nusu ya hapaView attachment 2621812
Toka usome duce hatupumui
Hii lodge ya elfu tano Tano unaileta humu kujiaibisha tuToka usome duce hatupumuiView attachment 2621895
Unganeni Bado hamtaweza MbeyaHii lodge ya elfu tano Tano unaileta humu kujiaibisha tu
Morogoro imeiacha mbali mno mbeya kwenye Kila kituView attachment 2621899
Sent using Jamii Forums mobile app