Kahama VS Njombe/Mafinga

Mipambo ya serikali ni Mingi

Na Bado
Hapa bado
gold ( Mara , mwanza, shinyanga,geita ,simiyu na kagera)
Almasi (mwanza na shinyanga)
Rare earth (shinyanga).
nickel (kagera na simiyu ).
Hii Kanda ndo inaipa uhai nchi

 
Endelea kujifariji....Huwa unasoma update za uchumi kweli au ndo kawaida yako vijiwe vya kahawa
Sisomi stori za kufikirika nasoma kitu real ,mnakanyagwa na Mbeya Kwa Kila kitu Kwa Sasa
 
Hii hii Mbeya au Kuna Mbeya Nyingine
yaan Mbeya sa hv inaizidi Mwanza?

Sasa mbeya ukitoa Kabwe na Mwanjelwa inabaki nn
 
Mgodi wa mzungu


Madini ya yangekuwa yanawasaidia saizi mungekuwa Juu ya Arusha na Dodoma Sasa unashindana na Mbeya
πŸ₯ΈπŸ₯ΈπŸ₯Έ

Hiv unajisikia kweli wew au unahisi kunya kunya ..ndio maana unaongea pumba
 
Siku Mwanza mkipata hostel ya gorofa 8 kwenye Chuo chenu chochote mnitag πŸ˜€πŸ˜€
 
..... wapi mbeya. .
Uko desperate sana aisee kwamba hujui faida tutakayopata? 😁😁

Zitasaidia kuongeza udahili wa wanachuo hivyo kuzidi kuleta pesa Mbeya.

Zitaongeza idadi ya majengo marefu Mbeya hivyo kupamba Jiji

Zitaongeza mzunguko wa pesa Jijini zaidi ya bil.7 zitaingia Mbeya,

Zitakuza GDP na mwisho Zitazidi kujifanya Mbeya kuwa kivutio Cha Elimu Kwa wanafunzi..

Si ajabu wivu unafanya mpaka unalinganisha hako kabasi ka mil.600 na mradi wa bil.7 😁😁
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…