Hapa badoMipambo ya serikali ni Mingi [emoji16][emoji16][emoji16]
Na Bado
Gold ipi unayozungumzia? Ya mzungu au? Gold hii hapa πHapa bado
gold ( Mara , mwanza, shinyanga,geita ,simiyu na kagera)
Almasi (mwanza na shinyanga)
Rare earth (shinyanga).
nickel (kagera na simiyu ).
Hii Kanda ndo inaipa uhai nchi [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2615940
Endelea kujifariji....Huwa unasoma update za uchumi kweli au ndo kawaida yako vijiwe vya kahawaGold ipi unayozungumzia? Ya mzungu au? Gold hii hapa [emoji116]View attachment 2615945
Soma geita hapo ....RMOGold ipi unayozungumzia? Ya mzungu au? Gold hii hapa [emoji116]View attachment 2615945
Sisomi stori za kufikirika nasoma kitu real ,mnakanyagwa na Mbeya Kwa Kila kitu Kwa SasaEndelea kujifariji....Huwa unasoma update za uchumi kweli au ndo kawaida yako vijiwe vya kahawa
Hapa utakaa tu [emoji116][emoji116]Sisomi stori za kufikirika nasoma kitu real ,mnakanyagwa na Mbeya Kwa Kila kitu Kwa Sasa
Mbeya [emoji23], Wewe jamaa Kichwa ako ni dispenser ya mate tuSisomi stori za kufikirika nasoma kitu real ,mnakanyagwa na Mbeya Kwa Kila kitu Kwa Sasa
Hii hii Mbeya au Kuna Mbeya Nyingine [emoji23][emoji23] yaan Mbeya sa hv inaizidi Mwanza?
Sasa mbeya ukitoa Kabwe na Mwanjelwa inabaki nn [emoji23]
Mbeya hii hii Mkuu,vitu vikali kama hivi unaweza panda kama unakuja Mbeya ,Mbombe LuxuryMbeya [emoji23], Wewe jamaa Kichwa ako ni dispenser ya mate tu
Mgodi wa mzungu ππππHapa utakaa tu [emoji116][emoji116]
Geological information..nyanzaga gold View attachment 2615966View attachment 2615967View attachment 2615968
π₯Έπ₯Έπ₯Έ[emoji28][emoji28][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79]Mgodi wa mzungu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Madini ya yangekuwa yanawasaidia saizi mungekuwa Juu ya Arusha na Dodoma Sasa unashindana na Mbeya [emoji16][emoji16]
Siku Mwanza mkipata hostel ya gorofa 8 kwenye Chuo chenu chochote mnitag πππ₯Έπ₯Έπ₯Έ[emoji28][emoji28][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79]
Hiv unajisikia kweli wew au unahisi kunya kunya ..ndio maana unaongea pumba
Ulimbukeni bwana ..[emoji1787][emoji1787][emoji1787].hizo hostel zinawasaidia nini...by the way mwanza Huwa hailingiii pety things like that....Siku Mwanza mkipata hostel ya gorofa 8 kwenye Chuo chenu chochote mnitag [emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..... wapi mbeya. .Siku Mwanza mkipata hostel ya gorofa 8 kwenye Chuo chenu chochote mnitag [emoji3][emoji3]
Uko desperate sana aisee kwamba hujui faida tutakayopata? ππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..... wapi mbeya. .
Ujinga huu Sasa,unaijua Mkombi Luxury?[emoji1787][emoji1787][emoji1787].. Sauli kasepa . biashara ngumu View attachment 2616429
Uko desperate sana aisee kwamba hujui faida tutakayopata? [emoji16][emoji16]
Zitasaidia kuongeza udahili wa wanachuo hivyo kuzidi kuleta pesa Mbeya.
Zitaongeza idadi ya majengo marefu Mbeya hivyo kupamba Jiji
Zitaongeza mzunguko wa pesa Jijini zaidi ya bil.7 zitaingia Mbeya,
Zitakuza GDP na mwisho Zitazidi kujifanya Mbeya kuwa kivutio Cha Elimu Kwa wanafunzi..
Si ajabu wivu unafanya mpaka unalinganisha hako kabasi ka mil.600 na mradi wa bil.7 [emoji16][emoji16]
Wew ni mpuuzi....hyo ni ya mbeya naona umeishiwa baada ya sauli kupata hasara huko [emoji28][emoji28][emoji28]Ujinga huu Sasa,unaijua Mkombi Luxury? View attachment 2616440View attachment 2616441
Dar-Johz via Mbeya