Kahama VS Njombe/Mafinga

ukiwa usagara kwenda kisesa kupitia bypass hakuna daladala ila kuna bajaji, na ukiwa kisesa mpaka kufika airport road bila kupita city center panda hiace zimendikwa kisesa to airport via nyasaka na ukiwa usagara kwenda JPM bridge usafiri upo wa kumwaga tu

na kuhusu hapo kwenye soko ambalo sio rasmi ambapo hiace zilikuwa zinaishia hope itakuwa igoma/kishiri au machinjioni/kakebe maana sijakupata vizuri unazungumzia ni maeneo yapi ila kwa kua una miaka nane haupo mjini nahisi unazungumzia hayo maeneo maana kwa kipindi hicho ndio hiace nyingi zilikuwa zinaishia na kuhusu stand haikujengwa palepale maeneo ya buzuruga bali ilihamia ahead almost 8km from buzuruga karibu kidogo na hapo unapopasema palikuwa porini (nane nane) ila kwa sahivi ni pa moto sana watu wanashusha kila siku maproject ya maana

na kuhusu pa kufikia nimeona unajiongelesha kuhusu malaika,malaika kulala kwa bei ya kuanzia ni 220 dollars so kwa ungaunga kama wewe hizo sehemu hazikuhusu labda tu uende kwa nia ya kunywa na kula ila sio kulala pengine hata kula unaweza usitoboe maana viepe lundo ulivyokuwa umezoea kuwekewa kwa 2k kwenye sinia zima kwenu uyole pale utanunua kwa 15k maji ya buku kwa 3k nakushauri tafuta maeneo ambayo utajihisi upo nyumbani kama vile igoma/nyakato-national au nyegezi ambapo utapata kabisa vitu unavyohitaji lodge za 15-25k pamoja na bar zile classic but affordable zina malaya wakali but affodable chukua malaya zako wa 25-50k ukainjoy utamu maana inaonekena unapenda uzinzi

na kuhusu hao ndugu zako hatujui unania gani nao ila kama unafikia kwa ndugu zako bora ufikie kwa huyo ndugu yako wa malimbe ila huko usagara ni mbali sana

na kama ukikwama zaidi usisite kututafuta masinior wa mji

karibu mwanza
 
🙏🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…