Tabora makongorosiTunasubiria Barabara ya Makongongolosi kwenda Tabora/Singida ifunguke hiyo itavutia VIP za kuzidi maana Ina mlima mmja tuu na Itapunguza umbali wa Kupitia Mtera
Allys Star ni 40,000Noted,nitaenda na Namba E,nauli bei gani?
Fanya wepesiwa mawasiliano ya Ofisi Mpanda Ili niwacheck Kwa booking ya Siku nayotaka maana Huwa napenda front seat niwe napiga picha ya mabanda yale si unajua πππ€ͺπ€ͺ
Hapana Mkuu hii picha ni ya Tabora -Kigoma huko..
ππ Nitafutie mawasiliano ya Wakala wa Ally's Star Mpanda nipe namba PM nifanye bookingAllys Star ni 40,000
Nyehunge 35,000
The rest pia 35,000
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Itakuwa vizuri sana ..na kiherehere Cha kulinganisha mwanza na mazizi yako kitaisha ....note :usiondoke mwanza bila kufika haya maeneoFanya wepesiwa mawasiliano ya Ofisi Mpanda Ili niwacheck Kwa booking ya Siku nayotaka maana Huwa napenda front seat niwe napiga picha ya mabanda yale si unajua
Hayo yote nayafahamu nataka kufika maeneo ambayo sijawahi kanyaga kama Magufuli BridgeItakuwa vizuri sana ..na kiherehere Cha kulinganisha mwanza na mazizi yako kitaisha ....note :usiondoke mwanza bila kufika haya maeneo
isamilo
Capripoint
Ilemela malaika beach
Nyasaka
Ghana
buswelu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asisahau kutembelea stand zote kuuItakuwa vizuri sana ..na kiherehere Cha kulinganisha mwanza na mazizi yako kitaisha ....note :usiondoke mwanza bila kufika haya maeneo
isamilo
Capripoint
Ilemela malaika beach
Nyasaka
Ghana
buswelu
Sent using Jamii Forums mobile app
JPM BRIDGEHayo yote nayafahamu nataka kufika maeneo ambayo sijawahi kanyaga kama Magufuli Bridge
Ulishawahi fika Kwa google ..we mwanza unaijua wapi wewe ......Hayo yote nayafahamu nataka kufika maeneo ambayo sijawahi kanyaga kama Magufuli Bridge
Mwanza ni nyumbani Kwa ndugu zangu 3 ,na Mimi nimewahi fanya kazi Misungwi Sasa nashindwaje kufahamu hayo maeneo?
Ili ufike nyasaka unapaswa upite barabara ganiMwanza ni nyumbani Kwa ndugu zangu 3 ,na Mimi nimewahi fanya kazi Misungwi Sasa nashindwaje kufahamu hayo maeneo?
Naporudi nitapita Kahama Ili nije niwapelekee moto vizuri.
Kwamba asisahau kwenda hukuJPM BRIDGE
FLYOVER YA SGR MKUYUNI
STAND ZOTE MBILI
SOKO
kapumzike TUNZA BEACH RESORT
Eee ni muhimu mno ila kama ana Hela but kama ana vilaki TU asiende hapamfahi kabisa labda aende migahawani tuKwamba asisahau kwenda hukuView attachment 2601359
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Broo mitaa ya vichochoroni siifahamu wewe niulize Ghana na Ilemela Beach ipo njia ya Airport,Capri point ni huko BoT iliko,Huko kwingine ni njia ya Igoma/Musoma Road.
Bia elfu ngapi hapo?Kwamba asisahau kwenda hukuView attachment 2601359
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app