ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,203
- 85,083
- Thread starter
-
- #15,641
Hilo gofu linatofauti gani na yale magofu ya kilwa kisiwani au kilwa kivinje.Kitombile
Ingekuwa Mwanza ungeita Hotel π€£π€£
Maranatha Hospital Mbeya
View attachment 2598047View attachment 2598048View attachment 2598049View attachment 2598050View attachment 2598051View attachment 2598052
Mwanza Hilo ni godown la kutunzia nyavu TU maana halina sifa kabisaKitombile
Ingekuwa Mwanza ungeita Hotel π€£π€£
Maranatha Hospital Mbeya
View attachment 2598047View attachment 2598048View attachment 2598049View attachment 2598050View attachment 2598051View attachment 2598052
Toka mumeanza ku post picha walau hili jengo na kale ka nssf Kahama ndio Zina hadhi..Wapi songea
Gold Town.. geita city bebyView attachment 2598630View attachment 2598631
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia dozi ipenye kidogo kidogo.Toka mumeanza ku post picha walau hili jengo na kale ka nssf Kahama ndio Zina hadhi..
Usifananishe Songea na mazizi ya mifugo wa kienyeji
Yale mavumbi ya songea huwezi fananisha na gold TownToka mumeanza ku post picha walau hili jengo na kale ka nssf Kahama ndio Zina hadhi..
Usifananishe Songea na mazizi ya mifugo wa kienyeji
Punguza ujinga wewe,nilikwambia leta aerial shot ya hili zizi la Geita utakimbia..Yale mavumbi ya songea huwezi fananisha na gold Town View attachment 2598640
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeanza kutetemeka mapema hivi ππHilo gofu linatofauti gani na yale magofu ya kilwa kisiwani au kilwa kivinje.
Jengo zuri sana...hongereni geita....Wapi songea
Gold Town.. geita city bebyView attachment 2598630View attachment 2598631
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika, kwa sasa Mwanza hamna maeneo ukisikia mtu amenunua kiwanja ujue ni huko Magu au Misungwi, jiji la mwanza tuna uhaba wa maeneo.
Sasa hatuna maeneo na tulihaidiwa kupewa manispaa mpya ili kutanua maeneo lakini mpaka sasa naona kimya.
Ndio madhara ya kujenga mabanda mnayoita dream houses na kuzaa hovyo haya Sasa ππJiji la mwanza linahitaji kutanuliwa maeneo maana linakua kwa kasi tofauti na huko kwingine
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Haya mambo ndo tunayahitaji kwenye miji yetu....plaza, malls, supermarkets, airbnb nk...Wapi songea
Gold Town.. geita city bebyView attachment 2598630View attachment 2598631
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba za Tunduma ni nzuri ila zimejengwa kiholela humo.milimani,hakuna maskini wa Mwanza anaweza miliki nyumba kama hiyo.Haya mambo ndo tunayahitaji kwenye miji yetu....plaza, malls, supermarkets, airbnb nk...
Sio kujenga slums na kuita miji kama huko njombe...makambako na tunduma...
Tazama Tunduma hapo chini...ni slums tupu...nyumba kama vibanda vya kuku...hata kwemye comments watu wanaona slums tupu
Hiv tunduma kuna hata barabara za mitaa kweli?Nyumba za Tunduma ni nzuri ila zimejengwa kiholela humo.milimani,hakuna maskini wa Mwanza anaweza miliki nyumba kama hiyo.
Mambo kama haya kusini watabaki kuyaona kwenye kideo tuNyumba za Tunduma ni nzuri ila zimejengwa kiholela humo.milimani,hakuna maskini wa Mwanza anaweza miliki nyumba kama hiyo.