Kahama VS Njombe/Mafinga

Utahangaika sana akili Yako inashida ndugu mwanza Jiji kubwa lenye stand nyingi nazan ukiona MABUS hapo nyegez utazan new York Sasa kama hyo inawakalisha skatai pengine huko kusini ndo bus pekee inayokja hko
Hayo mavumbi ndio Newyork ya Mwanza is slum 😁😁😁😁😆😆😆
 
Huko kusini mtu yeyote akiajiriwa lazima akimbie sio mm peke angu mmekimbia kimbia hko acha ushoga akili ikukae
Kusini ya wapi? Kwa hiyo atakimbia kwenye neema aje Geita au? 😆😆😆😆😆
 
Upo Sahihi kabisa lile eneo huwezi kusema ni mbeya vijiji ni bora waongeze kwenye jiji
 
Upo Sahihi kabisa lile eneo huwezi kusema ni mbeya vijiji ni bora waongeze kwenye jiji
Siasa uchwara za bongo ila songwe airport ingebaki songwe mbeya wakajenga kiwanja kingine lakin Kwa Sasa huo mpaka wa KISHAMBA sana walivokata
 
Upo Sahihi kabisa lile eneo huwezi kusema ni mbeya vijiji ni bora waongeze kwenye jiji
Hofu yangu ni wakiliacha ,Mji utaota mabanda kama Mwanza,Kuna eneo kubwa pale na linatazamana na airport ingekuwa poa sana mamlaka zichukue na zianze upangaji na uendelezaji mzuri.
 
Siasa uchwara za bongo ila songwe airport ingebaki songwe mbeya wakajenga kiwanja kingine lakin Kwa Sasa huo mpaka wa KISHAMBA sana walivokata
Songwe ibakieje Songwe wakati ni Mkoa wa Mbeya pale?
 
Yaan nakuona kama akili zako zmeliwa na nazan ulitumbuliwaga Sasa hutaki kukubali kosa lako unaendekeza chuki zenu na ubinafsi ndo umeidumaza mikoa ya kusini yote kulogana,wivu na ukabila ni adui wa maendeleo
Utajua hujui 👇
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…