ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,248
- Thread starter
-
- #14,221
Mapato Yao yanaenda wapi?Kimapato kahama imeizd iringa mjini ila kwenye swala la miundombinu na huduma za kijamii,elimu na maswala mengne yote kahama imepitwa na iringa mbali sanaa
Yanaenda serikalin ndo maana wanachi wao maskini sanaaMapato Yao yanaenda wapi?
Makambako WAmesha weka kwenye page Yao na makete hizi Ndo zinaongezeko kubwa tofauti na makadirio yaliyokuepoLeta mgawanyo wa matokeo ya sensa ya mwaka 2022 tuone.
Hapana mapato yote ya Halmashauri Huwa yanatumika huko huko sema tofauti inakuja kwamba Ukiwa Makao Makuu ya Mkoa Huwa Kuna previlages zinakuja Kwa hadhi hiyo..Yanaenda serikalin ndo maana wanachi wao maskini sanaa
Na kwingine data ziko wapi?Makambako WAmesha weka kwenye page Yao na makete hizi Ndo zinaongezeko kubwa tofauti na makadirio yaliyokuepo
Wamesha toa takwim za wilaya na miji.ita tusaidia kupunguza ubishMkoa wa njombe makambako tc ndo yenye ongezeko kubwa la watu ukilinganisha na halmashauri zingine
View attachment 2561248View attachment 2561249View attachment 2561250View attachment 2561303
Halimashauri ndo serikali hiyo na ndomaana maswala ya kujenga miundombinu wanasubl kupewa hela na serikali kuu ikitenga bajeti na hayo mapato yanatokana na uwekezaji mkubwa kwenye migodi ya madini yanayolipa kodi kubwa na maeneo meng ya biasharaHapana mapato yote ya Halmashauri Huwa yanatumika huko huko sema tofauti inakuja kwamba Ukiwa Makao Makuu ya Mkoa Huwa Kuna previlages zinakuja Kwa hadhi hiyo..
Ndio maana Mikoa yote ambayo ni Makao Makuu ya Mikoa Yana Huduma nzuri kuliko ambayo sio
Na kwingine data ziko wapi?
Wamesha toa takwim za wilaya na miji.ita tusaidia kupunguza ubish
Kwa nini NBS wasiweke kwenye website Yao?TaYar zimeachiwa ni ushapu tu was Halmashauri husika kuweka kwenye page Yao makambako tayar Hadi kata
Umeandika nini sijakusomaHalimashauri ndo serikali hiyo na ndomaana maswala ya kujenga miundombinu wanasubl kupewa hela na serikali kuu ikitenga bajeti na hayo mapato yanatokana na uwekezaji mkubwa kwenye migodi ya madini yanayolipa kodi kubwa na maeneo meng ya biashara
Hii inatokana na sera mbovu ya matumiz ya rasilimali,sula ya miji yenye mali ina bidi irefrect mali iliopo eneo husika, bila kujali ni mkoani au wilayan.Hapana mapato yote ya Halmashauri Huwa yanatumika huko huko sema tofauti inakuja kwamba Ukiwa Makao Makuu ya Mkoa Huwa Kuna previlages zinakuja Kwa hadhi hiyo..
Ndio maana Mikoa yote ambayo ni Makao Makuu ya Mikoa Yana Huduma nzuri kuliko ambayo sio
Kinachotakiwa ni kuwa na kanuni ya magawanyo wa rasilimali Kwa Mikoa kulingana na vigezo sio kutegemea siasa kama ilivyo Sasa.Hii inatokana na sera mbovu ya matumiz ya rasilimali,sula ya miji yenye mali ina bidi irefrect mali iliopo eneo husika, bila kujali ni mkoani au wilayan.
JKwa nini NBS wasiweke kwenye website Yao?
Nimeona Mbeya ,Mwanza cc,Ilemela wame update taarifa zao.SIjajua shida ni nn ila zoez limesha zinduliwa baadhi ya halmashauri tayari zimesha weka data hadharan
J
YNimeona Mbeya ,Mwanza cc,Ilemela wame update taarifa zao.
Nikweli uko sahihiKinachotakiwa ni kuwa na kanuni ya magawanyo wa rasilimali Kwa Mikoa kulingana na vigezo sio kutegemea siasa kama ilivyo Sasa.
Hao lak nane niweng sana ni sawa na watu wa mkoa mzima wa njombe.Mwanza cc nyamagana. 426154 ilemela 402175 total 828329 Haya Sasa waliokuwa wanasema population itafika milioni