Kahama VS Njombe/Mafinga

Kusini mlichojaliwa ni roho mbaya TU na kulogana hovyo nani ajenge huko at mwingiliano wa watu hamna,, mtu akiajiriwa huko mnamloga
 
Ndo maana huko maendeleo hamna maana ni mikoa ya mashamba unalima unasafirisha angalia Kanda ya kati,lake zone ,kaskazin, na pwani ni mikoa ya biashara TU na ndo maaana watu ni wengi mno
Mikoa yenye maendelea wanakofnya biashara naona mko vizuri kwenye dream houses 🀣🀣🀣🀣
 
Unapost ad unajionea haibu mwenyewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ unaokota picha za kitambo lakin unaaibika
πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰Naona dozi inakolea Sasa πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.

Ongeza kilio sijaskia 😭😭
 
Maazimisho Leo yanafanyika kitaifa mwanza njoo umuone zuchu maana hujawah kumuona mbwa ewe
 
Leta uchafu wowote unaoitwa Kahama au Shinyanga na Vijijini vya Geita tuone aerial view kama hii Ili nifunge Uzi..

Ukiona uswazi kama wa huko makambini kwenu nitag.

Songea MC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…