Kahama VS Njombe/Mafinga

Atakayeona picha yeyote inayoelezea uzuri wa Mikoa ya wenye njaa anitag Niko palee Namanyere.😜😜

Njombe πŸ‘‡
 
Kokote Duniani Watalii wakisikia Serengeti automatically wanajua ni Arusha na ndio maana Arusha Airport na Kia ziko busy huwezi Kuta Mwanza Kuna wazungu wanakuja Ili waende Serengeti 😁😁😁😁.

Njombe tena πŸ‘‡
Hamna vivutio hapo labda kuvutia nyuki na vipepeo kufanya pollination TU njoo uone fahar ya nchi na afrika nzima
 
πŸ”₯πŸ”₯
Sikia pimbi nikupe ukweli wa Kijiji chenu Cha mbeya

Siasa zilianza kuiathiri Mbeya tangu enzi za Nyerere. Nyerere hakuipenda kabisa Mbeya.
Hata uwanja wa Sokoine ulitakiwa ujengwe na Wachina, Nyerere akakataa, akaamuru ujengwe na wafungwa. Ukaitwa jina uwanja wa Mapinduzi.

Serikali ilikuwa haijihangaishi na kupanga mji kwa mpangilio. Uzunguni, Uhindini, Soko Matola, πŸ‡¬πŸ‡­ Ghana, Majengo na Mbata ilipangwa na wazungu na sio CCM.

Serikali ya CCM ilipanga mitaa ya Soweto a.k.a Block Q, Ilimba, Sae, na Block T.
Zaidi ya hapo hamna ilichokifanya, labda ianze kuupanga na kuupima mji kisasa hivi leo
 
Kwa hiyo unataka tukusaidiaje? Mabanda ya nguruwe huko Mwanza yamepangwa na ccm au? 🀣🀣🀣🀣
 
Mpaka Leo mnajenga nyumba mnafunikia masufuria
 

Attachments

  • Screenshot_20230314-114605~2.jpg
    40 KB · Views: 6
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…