Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

AMKENI WENZENU WANALIA LIA SANA HUKO


The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
Oct 29, 2022
Add bookmark
#1
Bila kuchoshana,

Juzi hapo Waziri wa Afya Ummy Mwalimu alitangaza ufadhili wa fani za kibingwa kwa watalamu wa Hospitali za Rufaa za Kanda na Taifa. Katika ufadhili huo unaoitwa Samia Health Specialisation, hospitali zote za kanda zimepata ufadhili wa kuwa bobezi kwenye baadhi ya fani.

Cha kusikitisha na kushangaza Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Nyanda za Juu Kusini ya Mbeya haipo kwenye huo mpango. Kana kwamba haitoshi, Hospitali ya Kanda ya Kusini Mtwara nayo haijawekewa specialisation yeyote.

Swali, hivi kwa nini Serikali ya CCM imekuwa na tabia ya kuitenga mikoa ya Kusini mwa nchi kiujumla, hususani Mbeya?

Toka zama za Mkapa kumekuwa na hii tabia, kuna Miradi mingi tuu ilikwepeshwa na kupelekwa maeneo mengineyo. Kwa mfano airport pekee ya Kanda ya Songwe haujakamikika toka alivyoanzaga kujenga Mkapa.

Pia inashangaza kwamba hata viongozi wengi wanaotokea Kusini huwa hawafanyi cha maana, angalia Hayati Mkapa, PM, Pinda na sasa PM Majaliwa, kwani nyie viongozi hamuoni wenzenu wanachofanya?

Kwamba Kusini kwa ujumla hakuna watu na hakitakiwi kuwa na huduma bora kama kanda zingine? Hii mambo inakera sana.👇
Attachments
20221029_220712.jpg
20221029_220712.jpg
222.4 KB · Views: 4
20221029_220645.jpg

Onesha tembe ya Kanda ya ziwa kama tuna tembe
Kwenu Kuna Mji wowote wa kufikia aerial view ya Songea?

 
Na hii inaonesha makalio yenu?
gr1.jpg
 
Kusini Kila siku mnalia kuhisi mnaonewa ila huko ni black harmit kabisa hivo tulien hakuna maajabu Mirad ya Nini sasa

Hospital ya kanda ya kusini kajenga JPM au nani? Unapenda sana lawama slzisizo na msingi! Huyo Samia wako ana maajabu gani?
Ujue nchi hii tambua ni kanda ya ziwa, kanda ya kaskazini na kanda ya pwani kwingine huko ngoja liende!
Songwe Airport
 
Hatar ndo Nini we kima hatuwez lingana na ninyi mjini mbalizi,nzomve, itigi pote nyumba za tope haya nambie shinyanga mjini kama Kuna nyumba ya tope ewe kima mjane
Mbalizi unaijua au unaisikia? NMbalizi ni zaidi ya ilemela
 
Bukoba hii ambayo haina hata daladala ya town trip
Hebu leta jiji lako la Mbeya ulinganishe na hapa...
Unafikiri daladala ndo mji kuendelea...nenda kisumu hapo...mji una bodaboda tu wala hauna daladala lakin maendeleo Arusha ikasome....

Mbeya yenyew Mbona kuna bajaji nyingi kuliko watu...


Bukoba municipality ....
images%20(1).jpg
Bukoba_tanzania.jpg
images%20(12).jpg
Bukoba%2C_Tanzania.jpg
2SSDDD%20(1).jpg
803bbn.jpg
23SD.jpg
images%20(15).jpg
1zas%20(1).jpg
images%20(14).jpg
 
Kihospital Cha hovyo kama shule..

Bukoba Sasa ndio hakuna hata hospital ya maana ya Mkoa kama wanabisha waambie waweke
Kwamba bukoba hakuna hospital ya maana? We jamaa vip...unataka wajenge ngap hapo mjini..


Katazame vita ya kagera ya mwaka 1978...Hospital ya Rufaa ya mkoa wa kagera ndo ilikuwa inatumika kutibu majeruhi...na kuna bomu lilidondoshwa pale..hadi leo kuna shimo...

Nyinyi 1978 mlikuwa hata na hospital basi huko kusin zaidi ya peramiho...
 
Kwamba bukoba hakuna hospital ya maana? We jamaa vip...unataka wajenge ngap hapo mjini..


Katazame vita ya kagera ya mwaka 1978...Hospital ya Rufaa ya mkoa wa kagera ndo ilikuwa inatumika kutibu majeruhi...na kuna bomu lilidondoshwa pale..hadi leo kuna shimo...

Nyinyi 1978 mlikuwa hata na hospital basi huko kusin zaidi ya peramiho...
Leta majengo ya hospital tuone sitaki porojo na hadithi za idd Amini
 
Hebu leta jiji lako la Mbeya ulinganishe na hapa...
Unafikiri daladala ndo mji kuendelea...nenda kisumu hapo...mji una bodaboda tu wala hauna daladala lakin maendeleo Arusha ikasome....

Mbeya yenyew Mbona kuna bajaji nyingi kuliko watu...


Bukoba municipality ....View attachment 2547278View attachment 2547279View attachment 2547280View attachment 2547281View attachment 2547282View attachment 2547283View attachment 2547284View attachment 2547285View attachment 2547286View attachment 2547287
Ndo kamji kameisha hapo? 😁😁

Mbeya ni City hailinganishwi na Vijiji..

Size yenu ni Sumbawanga 👇
maxresdefault.jpg
IMG_20230114_121002_261.jpg
IMG_20230114_130523_962.jpg
IMG_20230114_130603_819.jpg
IMG_20230114_130555_257.jpg
IMG_20230114_130813_195.jpg
IMG_20230113_100519_671.jpg
IMG_20230113_093654_079.jpg
IMG_20230119_100213_660.jpg
IMG_20230119_100236_587.jpg
 
Leta majengo ya hospital tuone sitaki porojo na hadithi za idd Amini
Kagoogle...

Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Kagera imekuwepo toka uhuru...

Tena hapo hapo Bukoba kuna hospital Nyingine tatu...

1. Hospital ya Wilaya ya Bukoba
2. Hospital ya manispaa ya Bukoba
3. Cosad Hospital
4. Ndolage hospital
5. Bugabo hospital...wahaya madaktari wamejiorganize wamejenga hospital yao hapo bukoba
 
Kagoogle...

Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Kagera imekuwepo toka uhuru...

Tena hapo hapo Bukoba kuna hospital Nyingine tatu...

1. Hospital ya Wilaya ya Bukoba
2. Hospital ya manispaa ya Bukoba
3. Cosad Hospital
4. Ndolage hospital
5. Bugabo hospital...wahaya madaktari wamejiorganize wamejenga hospital yao hapo bukoba
Iko wapi? Huto tu hospital unamlingishia nani?

Makelele yote ya Wahaya mnazidiwa hata na Ruvuma Ijue Mikoa 12 yenye Idadi kubwa ya vituo vya kutolea Huduma za Afya
Screenshot_20230214-082827.jpg
 
Iko wapi? Huto tu hospital unamlingishia nani?

Makelele yote ya Wahaya mnazidiwa hata na Ruvuma Ijue Mikoa 12 yenye Idadi kubwa ya vituo vya kutolea Huduma za AfyaView attachment 2547381
Akili huna....kati ya hizo 21 hospital 18 ni za binafsi...wahaya wanalaumiwaje...

Mnanishangaza kulaumu makabila kwenye suala la maendeleo ya umma...hiyo ni sign ya kujefeel inferior mbele ya kabila.
Kwan huko Ruvuma hospital zimejengwa na wangoni...

Halafu hospital zinajengwa kulingana na uhitaji
 
Back
Top Bottom