Kahama VS Njombe/Mafinga

Ndio lakin nn mnatuzidi pamoja na kuwa wajanja maana kam mngekuwa wajanja bas serikali ingekuwa yenu na miradi mikubwa yote ingekuwa hiko lakin now Kila kizr lazima kifike lake zone huko mkija huku mnaishia kushangaa mataa na miradi
Hao warugaruga wana ujanja gani zaidi ya kulima maparchichi na udumavu wa akili.
 
Hivi vitu vya Mwanza haviruhusiwi kuletwa humu na kushindanishwa na vijiji vya wachimba viazi, nakuomb huwe unaleta picha za katoro, lunzewe, kahama na geita au musoma, bukoba n.k
Ukichanganya vyote hvyo vimiji unapata jibu GREEN CITY
 
Kahama ina mambo mengi ya kujifunza kwa mkwawa city kuanzia usafi mpangilio uzuri nk ukibisha nakwambia unipe picha ya CBD
Kwan hujioni pimbi ew kama kahama ni wilaya ila iringa ni mkoa lakin bado mnahaha hujion kuwa ni pimbi jike
 
Huna ata aibu kusini nyenye shenzi, et mnajipambania kuna nini huko mlichojenga kwa nguvu zenu bila msaada wa serikali, leta hapa tuone.
Mbeya
Kaka umeongea point mfano kahama kuna vigezo haikukidh haswa maswala ya miundombinu ila waliipa ili ipambane mbele ya safari
 
Waambie hao wafa maji.
 
Kusini wakijengewa at shule wanapost platform zote ad unajua kweli Hawa zumbukuku maendeleo kwao yalichelew sana wanaona fahar kumbe wamehujumiwa muda ilipaswa wawe nazo ghorofa hizo miaka hyo
 
Ukichanganya vyote hvyo vimiji unapata jibu GREEN CITY
Sasa MBEYA hii nayoijua iliyojaa uchawi na ukabila ambayo Haina ata tawi la BANK OF TANZANIA ( BOT), hii ambayo imejaa tope hapselewek, mbeya yenye Barabara moja tu ya lami, au ipi hyo
 
Yet mnaongoza Kwa umaskini 😝😝

Shida hamna akili πŸƒπŸƒ
Leta data za 2022, ukiona kuna mkoa wowote wa kanda ya ziwa ni maskini naondoka jf ukitoa tu kagera wanaohujumiwa na takwimu za michongo.
 
Taka aina ya wagen mnaopat huko pimbi unajua nyie mnafaa kuwa vivutio vya watalii maana mambo yenu ni irregular shape pimbi og
Hao walugaliga huwa ni vivutio na wanavyovaaga mabwanga na walivyo wafupi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kama wanautapiamlo wanakimbiza wangekuwa hawana ingekuaje? Kuwa na nywele nyingi sio kuwa na akili nyingi..

Kanda ya Ziwa inongoza Kwa Kansa,pale ocean Road mumejaa
Hiyo ocean road imejaa watu wenye utindio wa ubongo kutoka njombe.
 
Hivyo ulivyotaja ni vidogo sasa Mwanza kunaujenzi wa flyover ya sgr 1.2 km, a.k.a hatutaki mazoea.
 
Ndio maana takwimu zinawakaa kabisa nyie watu, udumavu na lishe duni zinawafanya muwe na upungufu wa akili.

Nakutoa tongotongo wewe kisabengo, mbuga serengeti ndio namba moja afrika, mbuga hii ni sawa na mbuga zote za Tanzania na chenji inabaki.
Mwambie huyo kenge tatizo ni wafupi mno kama pimbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…