Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Nimeangalia finishing hiyo ya sumbawanga haina kingo stahiki za kuzuia lami isimomonyoke,, aliejenga lami singapore, kiwango chake ni cha kimataifa,
Kivipi Mzee hebu fafanua na uweke ya Singida hapa tuone.

Swax baby
DSC_0153-1024x684.jpg
 


Hio kali

Ila mshukurun magu kwa hio barabara washenz nyie

Imefanya mji wenu angalau

Ndo mjitahid sasa kuanzia usagara had town muweke double road sasa ikipendeza na upande ule wa kuelekea nyamhongolo

Tayar sisi tushaanza tengeru to usa na soon inakuja town to kisongo
Ila arusha waga wehu eti USA
 
Mbeya wanajengewa na flyover kabisa pale mafiat hawa watu wa mwanza ndio watapata presha vile hawatakagi kuona mji mwingine ukiendelea
Acha basi barabara ya 138 B ndo iwe na flyover au mnajenga 15km
 
Acha basi barabara ya 138 B ndo iwe na flyover au mnajenga 15km
emoji3.png
Kwamba hutaki au? Zinajengwa km 34 Sasa kwani flyover Ina gharama gani?

Flyover mojawapo Kati ya hizi hapa chini inawezekana na Wala Haina gharama zozote isipokuwa hiyo ya Dom unaondoa hiyo ngazi ya pili.
obestebi_.jpg
maxresdefault (1).jpg
dodoma.jpeg
 
Kivipi Mzee hebu fafanua na uweke ya Singida hapa tuone.

Swax baby View attachment 2532739
Hiyo lami pichani inaweza kulika mapema pembeni,, ile ya singida imejengewa msingi wa simenti kuanzia hiyo doulble hadi zile zingine za mjini, ambapo watembeaji ndo hupita, haiwezi kumeguka maana pembeni walinwaga msingi wa simenti, siko singida ningekupigia picha,,
Halafu mitaro yao pia sio ya kulipua, mikubwa na mipana, imejenga kwa concrete slab,, sio kujengewa mawe mawe
 
Kwamba hutaki au? Zinajengwa km 34 Sasa kwani flyover Ina gharama gani?

Flyover mojawapo Kati ya hizi hapa chini inawezekana na Wala Haina gharama zozote isipokuwa hiyo ya Dom unaondoa hiyo ngazi ya pili.View attachment 2532755View attachment 2532756View attachment 2532757
Acha kuota wew ,,mbeya na fly over wapi na wapi , aliyekuambia kuwa flyovers zinavusha maparachichi nani ..
Tizama mitaa na barabara zenye mwonekano wa majiji



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom