Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kwenye mabus .. Mwanza achana nayo kabisa
20230220_215040.jpg
20230220_214659.jpg
20230218_110553.jpg
20230211_223141.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati washamba wa Mwanza wakichangangikiwa na luxury buses ,Njombe tunazidi kuziongeza VIP namba E
Screenshot_20230222-083349.jpg
Screenshot_20230222-083426.jpg
Screenshot_20230222-084044.jpg
 
🔥🔥🔥 Thanks for updates..

Harafu wanataka kile kijinga Chao kama gulio wanaita Kahama eti ishindane na Njombe.

Kichuguu na mlima 😁😁
nyie inaonekana hamjafika KAHAMA (JIJi la 7) mnadhanii hako kamjombe ndo kakulingana na kahama manispaaa ..Njombe inatoshana labda na tinde ,kagongwa au kakola halafu hapo kwenye mwanza na mbeya acheni ujinga nyie wambeya yaani mwanza jiji la 4 east africa ulinganishe na huo uchafu kwanza kwa kigezo gani yaan mnatumia ushahidi upi nyie acheni kujitoa ufahamu ..Narudi tena kwenu njombe..Njombe ni mji kahama ni manispaa hadi hapo mkubwa ashajulikana ..We huonagi hata hawa wasanii wakubwa tz ushawahi muona anakuja njombe alale wapi kwenye vibanda au..Lakn kahama kila mara utasikia wasaf haoo sababu wanajua ni sehemu yenye kila kitu wajinga nyie
 
Back
Top Bottom