Kahama VS Njombe/Mafinga

Line za simu
 

Attachments

  • thechanzo_1675882416720715.jpg
    112.1 KB · Views: 10
Tumeshafunga mjadala wa Barabara na Kanda ya Ziwa,hapo tumewapiga 4=0 hatuna wa kushindana nae labda Arusha Sasa.

Mtakuwa mnaletewa updates za progress ya ujenzi tuu


 
Mjadala wa Barabara Lake zone watupishe Kwa Sasa hatuna mpinzani..

Ukiacha hiyo lot 4 iliyotiwa saini Leo km 32 Kuna Tactic km 23,Kuna Za vyanzo vingine(Tamisemi,own Source,Wizara ya ujenzi) km 8.5 zote ndani ya Jiji la Mbeya.
Tulia hivyo hivyo kuna km 54 dual carriage zinakuja soon.
Halafu sisi jiji letu sio level ya kuongelea barabara za TACTIC mtandaoni ambazo kila mwaka zinajengwa. Hizo huwa hatutumii nguvu zipo tu automatically, na mwaka huu zipo za kutosha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…