Kahama VS Njombe/Mafinga

Najua inakuuma sana ila ndio hivyo tutakuwa na dual carriage way Jijini Mbeya,Mwanza hakuna.

By the way sie tuko hivi
View attachment 2514715
Kwa habari ya maji walingishie Dodoma

Kwa habari ya dual carriage tembelea Mwanza uone mahali zilipo.
Unatakiwa ufahamu kuna barabara tatu za kuingia mjini. Moja ina njia nne tayari, nyingine njia tatu na moja ndio njia mbili.
Hizi za njia tatu na mbili ni swala la muda tu kupanuliwa kuwa njia nne.
 
Maweeee Mwanza Kuna dual carriage au ule ushenzi wa kwenda airport ndio dual carriage yenu? Unatia aibu

Maji gani mliyonayo nyie mnakunya kwenye milima?
 
Maweeee Mwanza Kuna dual carriage au ule ushenzi wa kwenda airport ndio dual carriage yenu? Unatia aibu

Maji gani mliyonayo nyie mnakunya kwenye milima?
Acha ulofa, kwani nini maana ya dual carriage. Ushamba wako ndio unakusumbua
 
Hayo mambo ya maji Mwanza yalishatatuliwa zamani sasa hivi ni kuongeza vyanzo tu. Sasa hivi mliokuwa mmesahauliwa ndiyo mnakumbukwa.
aisee hiki kituko Cha fungua mwaka..

Leo napiga za uso tuu , twende kazi


 
Ona umeanza kukimbilia mabasi tena, huko ulishindwa ukasema mjadala wa mabasi umefungwa sasa unaleta ya nini?
Mkoa hauna hata basi la VVIP
Usinilishe maneno ya uzushi wako,nilisema kwamba walau Kwa Sasa Mwanza mumeanza kupata Mabasi ya VIP,mtaisogelea Mbeya maana njia ya Mbeya hainaga Mabasi chakavu kama huko kwenu..

Kampuni Mpya za Katarama na New Bestline line naona zimekutia wazimu,Huyo Katarama ndio kwanza anamuiga Sauli tuu hana jipya..

Aisee nimecheka sio mimi nimeandika ila ni watu wa Mwanza

View attachment 2515690
View attachment 2515768
 

Attachments

  • westerner_buses_fans_1676227779778681.jpg
    95.7 KB · Views: 9
Mimi huwa sina ligi za mabasi ila ninachoshukuru ni kwamba umekuwa dalali mzuri, na unajua mabasi mengi ya Mwanza ambayo hata mimi sijui.
Unafanya kazi nzuri, ehe hebu niambie mbali na Katarama na Best line kuna basi gani lingine zuri?
 
Mimi huwa sina ligi za mabasi ila ninachoshukuru ni kwamba umekuwa dalali mzuri, na unajua mabasi mengi ya Mwanza ambayo hata mimi sijui.
Unafanya kazi nzuri, ehe hebu niambie mbali na Katarama na Best line kuna basi gani lingine zuri?
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…