Huyu ni mteja wetu hapa milembe, ana majina matatu jf zikiamka Huwa anaona mabasi ni usafiri wa watu wenye pesa. Ndege na SGR ni usafiri wa masikini. Ni huyu huyu ukimbana sana anakimbilia picha za sumbawanga. Tulijua kapona tukamruhusu kumbe ngoma inogileBasi ngoja tusubirie ila nakuhakikishia Mwanza kamwe haiwezi kuvuka 800,000 na Kwa sababu hata ongezeko la Mkoa kiujumla ni chini ya mil.1.
Nakuhakikishia Dodoma ndio itanufaika pakubwa na ongezeko la watu maana ndio Mkoa pekee ambao umeongea wakazi wake Kwa zaidi ya mil.1 na watu si chini ya 300k wamehamia Dodoma Mjini.
Unapoongea uwe valid data. Sio maneno maneno ... nyamagana pekee Ina watu laki 5 + .ukiplus na ilemela si ndio kabisa ... subiri data rasmi Toka nbs hizi porojo peleka hukoBasi ngoja tusubirie ila nakuhakikishia Mwanza kamwe haiwezi kuvuka 800,000 na Kwa sababu hata ongezeko la Mkoa kiujumla ni chini ya mil.1.
Nakuhakikishia Dodoma ndio itanufaika pakubwa na ongezeko la watu maana ndio Mkoa pekee ambao umeongea wakazi wake Kwa zaidi ya mil.1 na watu si chini ya 300k wamehamia Dodoma Mjini.
Hizi taarifa za muda mrefu ni za makadirio bado hawajaweza actual dataIngia kwenye tovutiView attachment 2513609View attachment 2513610
Harafu Mwanza itoe wapi hao mil.1 wakati Mkoa mzima ongezeko halijafika hata mil.1?
Mimi sijawahi kumwelewa huyu mtu.Hizi taarifa za muda mrefu ni za makadirio bado hawajaweza actual data
Kuna Uzi Mwanza imezidiwa na BundaUnajua nini wewe wakati unafugwa tu
Umeanza kupona kansaHuyu ni mteja wetu hapa milembe, ana majina matatu jf zikiamka Huwa anaona mabasi ni usafiri wa watu wenye pesa. Ndege na SGR ni usafiri wa masikini. Ni huyu huyu ukimbana sana anakimbilia picha za sumbawanga. Tulijua kapona tukamruhusu kumbe ngoma inogile
Falla sunk😀😀😀😀 una majina kama mwanamke😀😀😀😀. Hiii kichwa haijifichi 'VEYA'Umeanza kupona kansa
Nyie na tumiji twenu twa kidwanzi kaeni kimya..Falla sunkuna majina kama mwanamke. Hiii kichwa haijifichi 'VEYA'
We sunk .... maumivu makali ni hayaEndelea kuugulia Kwa maumivu
Tulia we muuza viazi mshambaEndelea kuugulia Kwa maumivu
waambie hao mazombie wa njombe waache kujitoa ufahamuKahama pako vizuri japo njombe nayo siyo haba ila miji yote inanivutia sana
Stay tuned keshokutwa tuendelee kukupasha zile habari usizozipenda.Sunk huu mradi unalingana na mradi uliosainiwa Jana wa maji huko mbeya wa kuhudumia mbeya mjini,rungwe,mbalizi na mbeya vijijini
Sas nyie mkijengewa njia nne mtakuwa hiviStay tuned keshokutwa tuendelee kukupasha zile habari usizozipenda.
Njia 4 is loading
Najua inakuuma sana ila ndio hivyo tutakuwa na dual carriage way Jijini Mbeya,Mwanza hakuna.Sas nyie mkijengewa njia nne mtakuwa hiviView attachment 2514672