The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,968
Njiapanda ya SADC
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwenye sumbawanga yake Mr Sunk atakuja na mbwembwe, alafu eti anaifananisha sumbawanga na Kanda ya ziwa
Uwanja wa ndege wageuzwa shamba la mboga ...nyanda za juu mna safari nedfu sana kuyafikia maendeleo [emoji12][emoji12][emoji28][emoji28]
Mr Sunk atakuja na mabasi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uwanja wa ndege wageuzwa shamba la mboga ...nyanda za juu mna safari nedfu sana kuyafikia maendeleo [emoji12][emoji12][emoji28][emoji28]
[emoji28][emoji28][emoji28]The Great Haya Mikdde mmeniwai
The Sunk Cost Fallacy 2 njoo ujib tuhuma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka sana...et Sumbawanga ndo ya kulinganisha na miji ya kanda ya ziwa....The Great Haya Mikdde mmeniwai
The Sunk Cost Fallacy 2 njoo ujib tuhuma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sumbawanga hakuna uwanja ndio kwanza Wizara inasaka pesa za kujenga pamoja na Shinyanga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwenye sumbawanga yake Mr Sunk atakuja na mbwembwe, alafu eti anaifananisha sumbawanga na Kanda ya ziwa
Check shule ya msingi wew....Madarasa Tunduma Kwa wenye pesa View attachment 2504066View attachment 2504067View attachment 2504068
Wewe kwa akili yako fupi unadhani hiyo NIMRI haipo katika Medical Field Ukiondoa Dar tu hakuna Mkoa wowote unaoufikia Mwanza!! Gusa kote ila sio katika Medical Field!!!Mwanza mkiniletea Kituo kikoja tuu Cha Wanasayansi nafunga account.
NIMR Mbeya
[emoji23] Ila Mbeya mkoa umefikia hadi stage hakuna kusajili tena bajaji mpya maana zimezidi kuliko mahitaji husikaNa hapo ni mjini, imagine. Hata Igogo mlimani huwezi pata tofali choma. [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]
View attachment 2498895
Sumbawanga hiihiii ambayo Airport yake imegeuka Shamba!??Kiboko ya Bukoba ni Sumbawanga,moto upi hamna hata Barabara za mitaa nyie?