The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Njiapanda ya SADC
Uwanja wa ndege wageuzwa shamba la mboga ...nyanda za juu mna safari nedfu sana kuyafikia maendeleo![]()



Mwenye sumbawanga yake Mr Sunk atakuja na mbwembwe, alafu eti anaifananisha sumbawanga na Kanda ya ziwaMr Sunk atakuja na mabasi
Uwanja wa ndege wageuzwa shamba la mboga ...nyanda za juu mna safari nedfu sana kuyafikia maendeleo![]()






Nimecheka sana...et Sumbawanga ndo ya kulinganisha na miji ya kanda ya ziwa....

Sumbawanga hakuna uwanja ndio kwanza Wizara inasaka pesa za kujenga pamoja na ShinyangaMwenye sumbawanga yake Mr Sunk atakuja na mbwembwe, alafu eti anaifananisha sumbawanga na Kanda ya ziwa
Check shule ya msingi wew....Madarasa Tunduma Kwa wenye pesa View attachment 2504066View attachment 2504067View attachment 2504068
Wewe kwa akili yako fupi unadhani hiyo NIMRI haipo katika Medical Field Ukiondoa Dar tu hakuna Mkoa wowote unaoufikia Mwanza!! Gusa kote ila sio katika Medical Field!!!Mwanza mkiniletea Kituo kikoja tuu Cha Wanasayansi nafunga account.
NIMR Mbeya
Ila Mbeya mkoa umefikia hadi stage hakuna kusajili tena bajaji mpya maana zimezidi kuliko mahitaji husikaSumbawanga hiihiii ambayo Airport yake imegeuka Shamba!??Kiboko ya Bukoba ni Sumbawanga,moto upi hamna hata Barabara za mitaa nyie?