Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Bukoba....

Bakhita and jaffery neighbourhoods
hhhuut.JPG
ggkkk.JPG
fgffg.JPG
 
Vijiji vya mkoa wa kagera....mkoa maskini kuliko mikoa yote Tanzania...unaambiwa wakazi wa huu mkoa hawapati hata laki kwa mwezi...


Sasa wanawezaje kujenga nyumba nzr kiasi huku vijijini kwao...kuna wilaya kama muleba ukikuta nyumba ya udongo au nyasi labda ni nyumba ya mbuzi au wahamiaji kutoka burundi....


Watu wa kagera wanaishi kwa akili sana....walipe kodi au maendeleo yawekwe dar?
Mfano robo ya mwaka jana kagera ilikuwa ya tisa kwa makusanyo ya kodi zaidi ya billion 25....lakin inashangaza mkoa unavyostruggle mwaka mzima kupata billion 1 ya ujenzi wa stendi ya kimkakati ya mkoa kyakairabwa...

Lakin stendi ya dar imejengwa kwa billion 71 serikali kuu ikitia mkono...


Kagera ndo maana magendo mengi....watu wana hela lakin hawaweki wazi...mnashangaa nyumba zao tu na maghorofa hadi huko vijijini hadi Chalamila anashangaashangaa
JamiiForums1364313333.jpg
images%20(30).jpg
images%20(28).jpg
images%20(29).jpg
images%20(27).jpg
images%20(31).jpg
images%20(29).jpg
images%20(1)%20(2).jpg
images%20(1)%20(3).jpg
 
Kiboko ya Bukoba ni Sumbawanga,moto upi hamna hata Barabara za mitaa nyie?
Acha hizo basi....huwezi linganisha Bukoba na sumbawanga kwenye chochote kile...

Nadhani katika sekta ambayo manispaa ya Bukoba imejitahidi ni barabara za mitaa...Bukoba ni mji wenye milima yenye miteremko mikali...lakin miteremko karibia yote ina lami tena zile nzr...


Huku ni kata ya Nshambya milimani huko Bukoba

images%20(24).jpg
 
Acha hizo basi....huwezi linganisha Bukoba na sumbawanga kwenye chochote kile...

Nadhani katika sekta ambayo manispaa ya Bukoba imejitahidi ni barabara za mitaa...Bukoba ni mji wenye milima yenye miteremko mikali...lakin miteremko karibia yote ina lami tena zile nzr...


Huku ni kata ya Nshambya milimani huko Bukoba

View attachment 2502501
Leta nyingine tuone
 
Back
Top Bottom