Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kwani Kuna siku nilikwambia Mbeya hakuna uswazi . Hospital ya Meta Iko uswazi mbona
Sas tunafungua visiwa .
Screenshot_20230128-160948.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Mwanza mkiniletea Kituo kikoja tuu Cha Wanasayansi nafunga account.

NIMR Mbeya
Kwamba mwanza hamna NIMR ,,
Si unakuja mwanza tembelea isamilo utapata kituo chao...
Pia Kuna maabara na hospital maalumu ya utafiti ..fika kitangiri kama unaelekea bwiru ..
Ukiacha NIMR Kuna TAFIRI (wanasayansi na watafiti wa aqua culture)


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom