Uchafu kama huu upo mwing sana lake zone upo toka mbeya inaitwa southern highlands haina ata 100miters za lami.
Kitu unapaswa kufaham ni uhitaji wa barabara mwanza ni mkubwa kuliko huko mapolin kwenu ni vile serikali inabusara inajitahid kubalance,ingekuwa si sawa kujenga mabarabara ya njia nne mpka sita at the same time mnajenga JP bridge, SGR,Meli,Airport and mengine mengi alaf huko polin wakawasubirisha.
Ni furaha yetu wanalake zone kuona baadhi ya vitu tuviache ili nanyie mpate.
TAARIFA: Garama za JP bridge zinatosha kuifanya southern highlands kusiwepo na barabara ya vumbi yeyote ile, inatosha kuifanya mbeya kama jiji la mchongo kuwa la kisasa, inatosha kuwajengea hospital za kisasa kila kata zenye uwezo wa kufanya uchunguz wa matatzo ya akili na chenji ikabaki.
Siku uko polini mkianza projects za mahela mengi kama hizi ndo mje kubwabwaja.
Saiv tupo busy na
View attachment 2493741View attachment 2493747View attachment 2493748