Kahama VS Njombe/Mafinga

Kwa hiyo Hilo daraja na limeli ndio Barabara za mitaa ya Miji yenu? 😂😂😂
 
Hahaha yaYan hii ni aibu tunavo sema hii ni manispaa ya mchongo tu yani miji saiz ni mwendo wa kupiga lami nyie mnaonesha changalawe km 1 Karne hii aibu Sana
Mambo ya Jiwe hayo ndio aliwafikisha huko..

Ukiwaambia watu wa Lake zone walete Barabara za mitaani kwao ni sawa na kuwapa ban humu jukwaani 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…