President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,766
- 89,791
Mbeya inapumulia mpiraUtakuwa huelewi, Uchumi wa mikoa yetu hautegemei kitu kikoja Bali vitu vingi.
Kwenye hivyo vitu vingi tunajali productivity kuliko quantity..
By the way Mikoa yenu hamjui kulima ila kuparua Ardhi.
Ukitaka kujifunza Kilimo njoo Arusha,Manyara,Mbeya,Njombe, Morogoro,Pwani,Iringa na Dodoma.
GDP mwanza ni baba yao yupo matakoni mwa Dar peke yakeπππKama vyote hivyo mnaongoza inakuaje top 10 ya GDP Mikoa ya Mbeya na Ruvuma inawapelekea moto?
Inakuaje mnaongoza Kwa umaskini?
Inakuaje kuaje yaani
Mwanza inalisha EAC kitu gani? Punguza uzwazwa basi..Yani Mwanza inayolisha East Africa ulinganishe na Ruvuma. Huu ni wehu wa hali ya juu.
Sasa Kwa nini muongoze Kwa wingi wa maskini? Na Yale mabanda yenu ya Nguruwe..GDP mwanza ni baba yao yupo matakoni mwa Dar peke yakeπππ
Mbeya inatia huruma. Usituchangaye. Tunaongelea kilimo na ufugaji.Mwanza inalisha EAC kitu gani? Punguza uzwazwa basi..
Ruvuma pekee Serikali inajengwa Vihenge vya Kisasa Sillos 13,hakuna sehemu nyingine Kuna storage kubwa.
You know why Kwa sababu Ruvuma ndio baba Yao kwenye Mahindi Tanzania hapa.
Ukiingia Mwanjerwa unaona umetembea sana. Tembea uoneSasa Kwa nini muongoze Kwa wingi wa maskini? Na Yale mabanda yenu ya Nguruwe..
Kumbe Manyara,Dom,Arusha inawapekea moto kwenye ufugaji? Huwa tunaambiwa Mwanza ,Shinyanga na Geita ndio mnafuga sana kumbe ni fix ππππ
Kiwanda kikubwa cha kukoboa mazao ya nafaka na kuhuza proccesed food kwanini kimejengwa Mwanza, mikoa ya kanda ya ziwa huwa inajitosheleza kwa mazao yao wenyewe haitegemei msaada wala mbeleko ya mikoa mingine.Mwanza inalisha EAC kitu gani? Punguza uzwazwa basi..
Ruvuma pekee Serikali inajengwa Vihenge vya Kisasa Sillos 13,hakuna sehemu nyingine Kuna storage kubwa.
You know why Kwa sababu Ruvuma ndio baba Yao kwenye Mahindi Tanzania hapa.
Kinaitwaje? Mimi nakisikia kwakoKiwanda kikubwa cha kukoboa mazao ya nafaka na kuhuza proccesed food kwanini kimejengwa Mwanza, mikoa ya kanda ya ziwa huwa inajitosheleza kwa mazao yao wenyewe haitegemei msaada wala mbeleko ya mikoa mingine.
Kwenye kuku mnajitahidi kidogo lakini badoKumbe Manyara,Dom,Arusha inawapekea moto kwenye ufugaji? Huwa tunaambiwa Mwanza ,Shinyanga na Geita ndio mnafuga sana kumbe ni fix ππππ
Mikdde naomba unisadie kunipa ile report mpya ya NBS niweze kunyamazisha hii kasuku yenye njaaπππππSasa Kwa nini muongoze Kwa wingi wa maskini? Na Yale mabanda yenu ya Nguruwe..
Ngoja tumalizane nae issue ya Kilimo na ufugaji. Kisha tuende kitu kingine.Mikdde naomba unisadie kunipa ile report mpya ya NBS niweze kunyamazisha hii kasuku yenye njaaπππππ
Tulia utakuja kukisikia ukiwa jehanamu.Kinaitwaje? Mimi nakisikia kwako
Ogopa sana sehem inaukame alaf production ya mazao shamban iko juu kuliko sehem isiyo na ukame Parachichi wewKwimba sawa na Bahi full ukame,Mbeya Haina ukame wewe ndege John
Mikoa yao ni ya watu wavivu, hiyo ardhi yao ingekuwa pale kwimba au shinyanga hakika hii nchi ingeuza sana mazao ya kilimo nje ya nchi na surplus ingekuwepo ya kutosha.Ogopa sana sehem inaukame alaf production ya mazao shamban iko juu kuliko sehem isiyo na ukame Parachichi wew.
Sehem hamn ukame alaf mnazidiwa uzalishaji mazao na sehem yenye ukame, ni vile tu sina mamlaka ningetuma JWTZ waje huko ni viboko mbele mbele yao.
Siku nyingine usirudie kuilinganisha kahama na vitu vya ajabu ajabu! Unasikia!?Karibuni kwenye mada.
Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga.
Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Wew ni kama Musa ..kiboko ya farao... ulikuwa wapi .... nimependa ulivynyamazisha Kwa factsNgoja tumalizane nae issue ya Kilimo na ufugaji. Kisha tuende kitu kingine.
Unfortunately you can't change the nature,itabakia hivyo.Ogopa sana sehem inaukame alaf production ya mazao shamban iko juu kuliko sehem isiyo na ukame Parachichi wew.
Sehem hamn ukame alaf mnazidiwa uzalishaji mazao na sehem yenye ukame, ni vile tu sina mamlaka ningetuma JWTZ waje huko ni viboko mbele mbele yao.
Fix na wivu ππππTulia utakuja kukisikia ukiwa jehanamu.
Hakuna ripoti Mpya weweMikdde naomba unisadie kunipa ile report mpya ya NBS niweze kunyamazisha hii kasuku yenye njaaπππππ