The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Mikdde walau anajua jua uchumi,hawezi kuleta data za per Capita income maana ataaibika ππMikdde naomba utupie hile current ya kipato cha mtu mmoja mmoja per capita income, tumuoneshe hii ndezi ya njombe.
Hapa ndio mafiati auππππDon't ever compare Green City with decent living na hayo mabanda ya Nguruwe huko Mwanza π€£π€£View attachment 2492577
Subiri usitafute excusesMikdde walau anajua jua uchumi,hawezi kuleta data za per Capita income maana ataaibika ππ
By the way za 2022 Bado kutoka
Jibu na hiliIgogo uswahili jiji mwanza inatosha kuingamiza mbeya cbd yote na ikabaki na change kwa idadi ya magorofa
View attachment 2492570
Life standard ya Ruvuma is way better than Mwanza ya mabanda ya Nguruwe..Yaani kwa akili yako unataka ulinganishe Mwanza na Ruvuma. Hivi upo sawa kweli kichwani?
Haya hebu tuambie vyanzo vya mapato vya Ruvuma
Unajua hata unachoongea lakini?Kusanya Mbeya+Njombe+Songwe+Ruvuma hutokaa uifikie Mwanza.
Acha kuruka ruka nataka tushindanishe igogo uswahili na cbd ya mbeya wapi kuna maghorofa mengiππππUnajua hata unachoongea lakini? View attachment 2492588
Nikiongezea GDP ya Njombe Kwa Mbeya tayari mnaenda mkiani kama kawaida yenu hapo sijaiweka Ruvuma ni ya 6 Kitaifa.
Unaokotoze taarifa uchwara sana wewe. Kwanini usiziongenze. Wewe ni punguani huwezi ukalinganisha Mwanza na vitu vya ovyo.Unajua hata unachoongea lakini? View attachment 2492588
Nikiongezea GDP ya Njombe Kwa Mbeya tayari mnaenda mkiani kama kawaida yenu hapo sijaiweka Ruvuma ni ya 6 Kitaifa.
Sasa uchumi sio magorofa tuu,nawesa kuwa naishi Sumbawanga na nini gorofa Mwanza,Hilo halikusaidii kuondokana na mabanda ya NguruweAcha kuruka ruka nataka tushindanishe igogo uswahili na cbd ya mbeya wapi kuna maghorofa mengiππππ
Life wapi wewe. Hebu tuonrshe nyumba za wakazi wa Ruvuma.Life standard ya Ruvuma is way better than Mwanza ya mabanda ya Nguruwe..
Kuonyesha financial districts does not depicts actual living ya watu,indicator za maisha halisi utaona kwenye aina ya makazi.
Mbumbumbu wa uchumi hujui kitu au kawabishie NBS basi πView attachment 2492586
Umekalia wivu tu, leta mbeya cbd nikuletee Nyasaka.Sasa uchumi sio magorofa tuu,nawesa kuwa naishi Sumbawanga na nini gorofa Mwanza,Hilo halikusaidii kuondokana na mabanda ya Nguruwe
Naokoteza π€£π€£π€£π€£ ,hizo ni taarifa rasmi kutoka NBS.Unaokotoze taarifa uchwara sana wewe. Kwanini usiziongenze. Wewe ni punguani huwezi ukalinganisha Mwanza na vitu vya ovyo.
Hivi unaujua uchumi wa Coal wewe? Uchumi ni miundombinu kijana. Pamoja na nyumba nzuri na kula chakula vizuri.Sasa uchumi sio magorofa tuu,nawesa kuwa naishi Sumbawanga na nini gorofa Mwanza,Hilo halikusaidii kuondokana na mabanda ya Nguruwe
Na hayo mabanda yapo mitaa mingapi kama sio mabatini na igogo na Mwanza kuna kata ngapi na kuna mitaa mingapi? Ubaya wa sehemu moja usifute mazuri ya sehemu mia moja za Mwanza.Life wapi wewe. Hebu tuonrshe nyumba za wakazi wa Ruvuma.
Coal haiwezi kumfaidisha mtu mmoja mmoja hata siku moja. Usitudanganye. Hebu onesha nyumba za wakazi wa Ruvuma kisha tukuoneshe Nyumba za wakazi wa Kanda ya Ziwa.
Sasa kwanini usiziweke hizo njombe na ruvuma?Naokoteza π€£π€£π€£π€£ ,hizo ni taarifa rasmi kutoka NBS.
Kwa taarifa Yako Kwa mujibu wa WB, Tanzania Ina watu 44 mln maskini na Kati ya hao 90% wanatoka Kanda ya Ziwa ππ
Utakufa na chuki dhidi ya kanda ya ziwa.Naokoteza π€£π€£π€£π€£ ,hizo ni taarifa rasmi kutoka NBS.
Kwa taarifa Yako Kwa mujibu wa WB, Tanzania Ina watu 44 mln maskini na Kati ya hao 90% wanatoka Kanda ya Ziwa ππ
Ukibishana na sunk unatakiwa ujitoe akili na utoe ubongo ubaki na fuvu tu.Sasa kwanini usiziweke hizo njombe na ruvuma?
Kumbe ni mtu wa Mbeya. Anataka ashindanishe Mbeya na Mwanza!!!?Umekalia wivu tu, leta mbeya cbd nikuletee Nyasaka.