Kahama VS Njombe/Mafinga

Kwaio mwanang umejiaminia kabisa ukaona ulete izo picha
.

Kumbe mbeya pahovyo hivo
kama lindi tu.

Mim nngekua mtu wa mbeya ningekutafuta nkakuchapa viboko. Jaribu kuedit ujue mbeya baada ya mwanza ndo inafatia kwa GDP
 
Sasa mbona Lindi sio Jiji? 🀣🀣🀣🀣
 
Acha dharau wewe, yaani Lindi mji umechoka vile halafu unafananisha na Mbeya

Wewe ndio uchapwe viboko
 

Na Bado moto unawashwa halafu uache ujinga kutuletea ujinga wako vs rock city
 
Hapa Kuna nini Sasa Cha ajabu? Hayo majengo ya Vituo vya Kutolea Haki Jumuishi yanajengwa Mikoa yote.
Sa mbona unatuletea jengo la mahakama unaforce tukujibu kwa picha wakati unajua yapo kila mkoa. Nilikuambia we fala unakasirika nikikujibu akili inakaa sawa, punguza wenge wakati mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…